Ngolinda
Senior Member
- Apr 12, 2010
- 125
- 25
Ndugu wana JF,
Salaam,
Katika pitapita zangu mtandaoni nilikutana na Katuni hii. Ukiingalia kwa makini unaweza ukatokwa na mchozi. Si kwa sababu ya kuchinjwa kwa Demokrasia..bali kwa kile kinachowekwa mbadala wa Demokrasia. Waweza kuona kambi mbili: Kambi ya kwanza ni ya haki, usawa na Uungu yaani Godliness na Kambi ya pili ni ya dhuluma, ukandamizaji na nguvu za kuzimu yaani demonic powers (angalia maumbo ya kishetani). Kinachoniuma ni kwamba cartoonist anatuambia kwamba kwa sasa Tanzania yetu tunayoipenda imeangukia mikononi mwa kambi ya pili.
Ni hisia tu....tutaonana baadaye!
Salaam,
Katika pitapita zangu mtandaoni nilikutana na Katuni hii. Ukiingalia kwa makini unaweza ukatokwa na mchozi. Si kwa sababu ya kuchinjwa kwa Demokrasia..bali kwa kile kinachowekwa mbadala wa Demokrasia. Waweza kuona kambi mbili: Kambi ya kwanza ni ya haki, usawa na Uungu yaani Godliness na Kambi ya pili ni ya dhuluma, ukandamizaji na nguvu za kuzimu yaani demonic powers (angalia maumbo ya kishetani). Kinachoniuma ni kwamba cartoonist anatuambia kwamba kwa sasa Tanzania yetu tunayoipenda imeangukia mikononi mwa kambi ya pili.
Ni hisia tu....tutaonana baadaye!