Paka wa Schrödinger

Paka wa Schrödinger

Nilitakanipite kimya kimya ila ngoja niseme.
Nimesoma hii thread mara 3. Nilivyoona sielewi, nikabadili staili ya kusoma, yaani kuanzia mara ya nne hadi ya sita nikawa nasoma kwa sauti kabisa kama darasa la pili tena neno kwa neno lakini nimetoka mweupe kabisa.
Ila mkuu Mgalanjuka nakusubiri kwenye mada zako nyingine zinazohusu vitu vinavyoonekana kama nyota, vimondo, sayari nk.
Hizi atom sijui proton wacha nipite tu.
 
Nilitakanipite kimya kimya ila ngoja niseme.
Nimesoma hii thread mara 3. Nilivyoona sielewi, nikabadili staili ya kusoma, yaani kuanzia mara ya nne hadi ya sita nikawa nasoma kwa sauti kabisa kama darasa la pili tena neno kwa neno lakini nimetoka mweupe kabisa.
Ila mkuu Mgalanjuka nakusubiri kwenye mada zako nyingine zinazohusu vitu vinavyoonekana kama nyota, vimondo, sayari nk.
Hizi atom sijui proton wacha nipite tu.

Hahahah! Mkuu Mkiu inaonekana ngumu lakini kama unataka kuelewa tu basically wala quantum mechanics haina shida. Ukiachilia mbali tabia za patricles na mambo mengine, basi at least kujua ni vitu gani hivi na vikoje inatosha.
 
Nilitakanipite kimya kimya ila ngoja niseme.
Nimesoma hii thread mara 3. Nilivyoona sielewi, nikabadili staili ya kusoma, yaani kuanzia mara ya nne hadi ya sita nikawa nasoma kwa sauti kabisa kama darasa la pili tena neno kwa neno lakini nimetoka mweupe kabisa.
Ila mkuu Mgalanjuka nakusubiri kwenye mada zako nyingine zinazohusu vitu vinavyoonekana kama nyota, vimondo, sayari nk.
Hizi atom sijui proton wacha nipite tu.

haupo peke yako ndugu mimi nimeomba hadi mtu anisomee kwa sauti labda ningeelewa..wapi... dah kwa hii sijutii kuiacha hiyo science yao
 
haupo peke yako ndugu mimi nimeomba hadi mtu anisomee kwa sauti labda ningeelewa..wapi... dah kwa hii sijutii kuiacha hiyo science yao

Mkuu yaani nimecheka uliposema umemwomba mtu akusomee!
Haya mambo ya wenyewe bwana.
Wale ndugu zetu wa MMU wakiiona mada kama hii watakukatalia kata kata kwamba kiswahili hakijatumika kabisa katika mada hii.
 
haupo peke yako ndugu mimi nimeomba hadi mtu anisomee kwa sauti labda ningeelewa..wapi... dah kwa hii sijutii kuiacha hiyo science yao

Mkuu Giti asante, Kwa kuwa lengo langu ni kuweka mambo haya kwa urahisi kabisa ili wasioelewa waelewe na siyo kinyume basi sina budi kujaribu kueleza hoja kwa ufupi na njia rahisi zaidi.

Quantum computing inatarajiwa kuleta suluhisho kubwa la usalama wa mifumo ya fedha na ulinzi wa nchi. Mifumo iliyopo ina gaps na siyo salama asilimia mia. Quantum computing inategemea utafiti wa tabia za particles (quantum behaviours) na field nzima ya quantum mechanics hasa kwenye quantum entanglement. Ili terms hizi zisiwe kama maneno magumu yasiyokuwa na maana ndio nimejaribu kuweka dhana ya quantum mechanics na ufafanuzi wa majaribio ya kufikirika ya Paka wa Schrödinger ili wachangiaji wapate kuelewa na kuchangia.
 
Mkuu, naomba ufafanue ni kwanini possibilities zinapungua from 4 in classical mechanics to 2 in quantum mechanics?

Ingawaje swali halijaelekezwa kwangu lkn labda ningeweza kuchangia, unamaanisha nini labda unaposema possibilities zinapungua C. Physics kwenda Q.physics? Naomba ufafanue kidogo kama ukiweza labda naweza kuwa na cha kuchangia!
 
Monstgala kuna post(#13) nimekuomba ufafanuzi, vipi mbona hujasema kitu?

Tiger niwie radhi nimeiona post yako na actually ina msingi mkubwa wa interpretation za quantum mechanics. Nilitaka nipate muda nijibu vizuri maana sasa ndio natoka kwenye majukumu. Lakini Mkuu kijakazi anaomba uwe specific kidogo ili achangie. Asante.
 
Last edited by a moderator:
Point inakuja na kupotea....ni elimu mpya hii.

Mkuu IGWE , quantum mechanics sio mpya ila kwa sasa tafiti zake zimeendelezwa zaidi na technology itakayotokana na kuelewa behaviours za particle hizi ndogo sana zitatupeleka hatua kubwa sana kutoka hapa tulipo.
 
Je kiswahili kuwa lugha ya kufundishia itasaidia katika uelewa?...tafakari

Mkuu Hardman , Kwa Quantum mechanics si lugha tu inayokuwa kikwazo bali uajabu wa field yenyewe, maana hata kwa lugha zote bado hii area ni ya ajabu. Experiments zinaonesha ukweli wa state za electrons kama particles na pia kama waves. Hii ikielizewa kwa lugha yoyote bado itabaki kuwa ya ajabu tu lakini muhimu kufahamu.
 
Mkuu Monstgala hii mada kwangu imekuwa ngumu kumeza, ila nakubaliana na nondo zako kiongozi. Hebu rushia zile liquid kiasi japo tuende sawa
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, naomba ufafanue ni kwanini possibilities zinapungua from 4 in classical mechanics to 2 in quantum mechanics?

Mkuu Tiger technically quantum superposition inahusiana na swali lako:Why only two possibilities katika quantum state instead of many from the combination of other possibilities of classical mechanics.

Kwa two states (paka wawili wa Schödinger)

Paul Dirac katika superposition principle anasema: if two or more quantum states correspond to situations that are physically possible, so does their superposition.

"The non-classical nature of the superposition process is brought out clearly if we consider the superposition of two states, A and B, such that there exists an observation which, when made on the system in state A, is certain to lead to one particular result, a say, and when made on the system in state B is certain to lead to some different result, b say. What will be the result of the observation when made on the system in the superposed state? The answer is that the result will be sometimes a and sometimes b, according to a probability law depending on the relative weights of A and B in the superposition process.

It will never be different from both a and b [i.e, either a or b]. The intermediate character of the state formed by superposition thus expresses itself through the probability of a particular result for an observation being intermediate between the corresponding probabilities for the original states, not through the result itself being intermediate between the corresponding results for the original states."



 
Ukishangaa ya Paka wa Schrödinger utayaona ya paka wa Cheshire huyu anayo uwezo wa kujidhihirisha mfano kwa kunguruma bila kuwepo kimwili!
 
Ukishangaa ya Paka wa Schrödinger utayaona ya paka wa Cheshire huyu anayo uwezo wa kujidhihirisha mfano kwa kunguruma bila kuwepo kimwili!

🙂 Interesting stuffs from Wonderland.
 
Ingawaje swali halijaelekezwa kwangu lkn labda ningeweza kuchangia, unamaanisha nini labda unaposema possibilities zinapungua C. Physics kwenda Q.physics? Naomba ufafanue kidogo kama ukiweza labda naweza kuwa na cha kuchangia!

Sawa mkuu,
ukiangalia maelezo ya awali kabisa, mleta uzi amezitaja possibilities 4


  1. Paka wa kwanza na wa pili wote wako hai (mabomu yote mawili hayakulipuka)
  2. Paka wa kwanza na wa pili wote wamekufa (mabomu yote mawili yamelipuka)
  3. Paka wa kwanza yuko hai na wa pili kafa (bomu moja limelipuka lingine halikulipuka)
  4. Paka wa kwanza kafa na wa pili yuko hai (bomu moja limelipuka lingine halikulipuka)
(based on classical mechanics)
na possibilities 2


  1. Paka wa kwanza yuko hai na wa pili kafa (bomu moja limelipuka lingine halikulipuka)
  2. Paka wa kwanza kafa na wa pili yuko hai (bomu moja limelipuka lingine halikulipuka)

(based on quantum mechanics)

Sasa swali langu lilikuwa kwanini nne(4) katika classical na mbili(2) katika quantum mechanics?
Sijui kama nimeeleweka.
Naomba pia Kiranga apite huku.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom