Paka sharobaro

Paka sharobaro

Panya nao watapita tu sebuleni ili utambue uwepo wake!
 
Mbona mapaka ya hivyo yapo mengi tu sirikarini. Panya wanawapitia paka hadi miguuni na wakati mwingine wanashirikiana kuwaibia mali waliowaweka na kugawana. Muulize D. Kibamba akwambie!
 
paka huyo kweli sharonyau duuuh . au na panya nae alimwambia usinikimbize meen.
 
Nachojua mimi kazi yapaka ni kukamata panya, sasa leo kunapaka hapa home panya kampitia miguuni kabisa, paka kamuangalia kwa dharau afu kampotezea, sijui alihisi akimfukuzia atasweat...

Mi nadhani huyo Paka ni Rasta ndo maana hali nyama...................
 
Back
Top Bottom