Mbona mapaka ya hivyo yapo mengi tu sirikarini. Panya wanawapitia paka hadi miguuni na wakati mwingine wanashirikiana kuwaibia mali waliowaweka na kugawana. Muulize D. Kibamba akwambie!
Nachojua mimi kazi yapaka ni kukamata panya, sasa leo kunapaka hapa home panya kampitia miguuni kabisa, paka kamuangalia kwa dharau afu kampotezea, sijui alihisi akimfukuzia atasweat...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.