Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,400
Nimetoa ushauri tu.... 9M mtu anapata gari kali sana sio chakavu kama hiyo!!
Hahahaha Lusungo nimemiss vijembe vyako, muache jamaa auze mzigo hujui mjini mafala na wajanja hawaishi?
Nimetoa ushauri tu.... 9M mtu anapata gari kali sana sio chakavu kama hiyo!!
Kiongozi unatoa ushauri mzuri ila kwenye kuconclude tu ndo unakosea, usingeandika neno wizi.Nawasaidia wengine wasiliwe mkuu....
Hizo gari kms kwa kilomita hizo kwa 9M ni wizi!!
Nimetoa ushauri tu.... 9M mtu anapata gari kali sana sio chakavu kama hiyo!![/QUOT
Wewe unaroho ya kwa nn eeeeeh,endelea kubwabwaja hivyo hivyo,nilitegemea kukutana na watu kama nyinyi humu ndani.
Kwa uzoefu wangu hii gari 6m- 7m ni halali yake huo ni magari sensitive sana na yanawasumbua sana mafundi wetu wa chini ya mti.Habari zenu wakuu
Nauza gari aina ya pajero io(GDI)
_Ya Mwaka 2002
_ Colour, Black
_1500cc
_ Mileage,211,000km
_Bei ...million 9.
Gari ipo ktk condition nzuri kabisa..Karibuni wakuu.
Nawasaidia wengine wasiliwe mkuu....
Hizo gari kms kwa kilomita hizo kwa 9M ni wizi!!
Wewe acha mashauzi ndugu chukua hela hiyo utajuta mwishowe haya weeMkuu 5million hapana
Mwache aje aiuze kama screpa,mimi yalishanikuta hayo nilikuwa na baloon SX 90 nikawa naringa ila niilushia kuiuza kama screpa ikakatwa kwatwaWewe acha mashauzi ndugu chukua hela hiyo utajuta mwishowe haya wee
Hii 9mil ni bei niliyonunulia gari kama hii from Showroom those days, ilikua ndio kwanza imported. Sasa yeye ndio kafanya bei ya kuuzia mkononi, dahNawasaidia wengine wasiliwe mkuu....
Hizo gari kms kwa kilomita hizo kwa 9M ni wizi!!
Wewe acha mashauzi ndugu chukua hela hiyo utajuta mwishowe haya wee
Mwache aje aiuze kama screpa,mimi yalishanikuta hayo nilikuwa na baloon SX 90 nikawa naringa ila niilushia kuiuza kama screpa ikakatwa kwatwa
Na hilo ndo tatizo la GDI....Kwa uzoefu wangu hii gari 6m- 7m ni halali yake huo ni magari sensitive sana na yanawasumbua sana mafundi wetu wa chini ya mti.
Nakumbuka niliagiza hii gari ikafika kwa around 10.5milion Enzi hizo lakini niliishia kuiuza 8milion ikiwa mpya.
Ni gari nzuri sana, very comfortable ulaji wake wa mafuta ni wa kawaida lakini ikianza misi ndio utajuta kuijua GDI, huwa ina kaugonjwa kengine ka kukata mafuta, yaani gari ipo silence lakini ukipiga resi hola.
mil 15 labda ya zimbabwe ina mana hii na mark x ipi ipo markert zaid wacha uongo aiseeMkuu gari haina tatizo lolote,ni nzima kabisa,kwenye Yard ina range kwenya 14-15million
Mkuu nimeshauza tayarihiyo gari pajero GDI ni ishu ninayo hapa mwaka wa 3 huu nilikuwa nauza 7m sasa hata wa 4m simpati
mil 15 labda ya zimbabwe ina mana hii na mark x ipi ipo markert zaid wacha uongo aisee