Mkali Tozz
JF-Expert Member
- Aug 9, 2012
- 278
- 80
BK ya sehemu gani?na sisi tulio mabikra tena..taabu kweli kweli!
BK ya sehemu gani?na sisi tulio mabikra tena..taabu kweli kweli!
Mie nilikuwa nalaza kiporo cha ubwabwa na maharage mezani na shuka hazifuliwi wiki nzima ili kumpima msichana wa siku kwanza... akimudu kuvumilia uchafu wangu, najua huyo tutawezana, na hapo baadae narudia hali yangu ya unadhifu kama kawaida, wengi walikuwa ananishangaa......
duuuuu kongosho hii sasa imezidi kilakitu unaongezea meter mbelengoja nivumbue 'sikuyakwanzameter' SI unit itakuwa Vibrations/aibu.
duuuuu kongosho hii sasa imezidi kilakitu unaongezea meter mbele
inaonekana physics imekuharabu
hata wanamme huwa wanayo
sema tu ile kujifanya 'am a man' ndio huwabeba.
Afu kwa asili wanawake huanza kuwa na aibu wanapobalehe.
hahaha! Smile bado hujaji commit? sababu hupendi au sababu bado wanaume kamili hujaona? Kila la kheri na u single wako.. Hongera sana.
Wakati nachangia thread ya gfsonwin ,ya kuhusu wanawake wa Kiafrika kua na aibu kunako 6*6,kuna jambo nililigundua.Kuna suala la siku ya kwanza ya kukutana kimwili na mpenzi mpya.Mara nyingi siku hii huwa sio nzuri kwa sababu ya "tension" na "ugeni" kila mmoja kwa mwenzake.Ni vyema wapenzi wapya wasiamue uhodari,uzembe na hata usafi wa wapenzi wao wapya kwa mujibu wa siku hii.Kuna watu huamua kusafisha miili yao au mahali wanapoishi kwa kuwa wanakutana na wapenzi wapya kumbe wakizoeana hurudia hali zao za zamani.Suala la uhodari na aibu during sex nalo huathiriwa na siku ya kwanza.Mtu anaweza kuwa na aibu kwa kuwa hajakuzoea au akawa hodari kwa kuwa wewe ni mpya.So ni vyema ukampima mtu angalau kwa gem kuanzia 4 na kuendelea . . . . .!!
Kwa wasichana labda; wanawake sidhani!
Mpaka ufikie huko maana ushadate na mtu kwa siku kadhaa kama sio miezi. Mmeshakiss na mambo mengine kama hayo! I am past being nervous on 1st day, curios maybe but not nervous!
na hii ni kwa wanawake wote wanaojiamini!we maybe curious but not nervous!kwani niwe muoga ili kiwe nini?at this age yani niwe nategemea mwanaume atabaki kunikodolea nikionyesha maujuzi yangu badala ya kuinjoi ah wapi!
Kwa wanaume wengi siku ya kwanza sio ya perfomance
siku ya kwanza ni 'marking of territory '....
What do u mean by marking territory?