Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Katika kijiji kimoja kule mkoa wa Kilimanjaro, kulitokea mabishano makubwa kati ya mzee mmoja na kijana wake. mabishano haya yalikua yana husu chupi waliyoiokota.
Baba akasema; hii ni chupi ya mwanamke mzee, Kijana akadakia na
kukanusha, hapana baba hii chupi ni ya msichana. Baba akasema tena hapana hii ni ya mwanamke mzee, mabishano yakaendelea kama saa nzima.
Katika muda huo akapita Padri na akasikia makelele ya watu wanaobishana. Akaenda kuangalia kama baba na kijana wake atawasaidia.
Baba akasema: tumeona chupi hapa nikamuambia kijana wangu kwamba ni ya mwanamke,yeye anasema ni ya msichana.
Padri akasema: ilete niione, akaichukua chupi na kuingalia nakuiweka puani na kuinusa,kisha akasema Kwamba: Hii chupi ni ya mwanamke mzee au msichana lakini jambo moja ambalo nina
uhakika nalo ni kwamba huyu mwanamke sio wa parokia hii !!!!!
Baba akasema; hii ni chupi ya mwanamke mzee, Kijana akadakia na
kukanusha, hapana baba hii chupi ni ya msichana. Baba akasema tena hapana hii ni ya mwanamke mzee, mabishano yakaendelea kama saa nzima.
Katika muda huo akapita Padri na akasikia makelele ya watu wanaobishana. Akaenda kuangalia kama baba na kijana wake atawasaidia.
Baba akasema: tumeona chupi hapa nikamuambia kijana wangu kwamba ni ya mwanamke,yeye anasema ni ya msichana.
Padri akasema: ilete niione, akaichukua chupi na kuingalia nakuiweka puani na kuinusa,kisha akasema Kwamba: Hii chupi ni ya mwanamke mzee au msichana lakini jambo moja ambalo nina
uhakika nalo ni kwamba huyu mwanamke sio wa parokia hii !!!!!