Padri wa kijiji

Masikini_Jeuri

JF-Expert Member
Jan 19, 2010
6,829
1,296
Katika kijiji kimoja kule mkoa wa Kilimanjaro, kulitokea mabishano makubwa kati ya mzee mmoja na kijana wake. mabishano haya yalikua yana husu chupi waliyoiokota.

Baba akasema; hii ni chupi ya mwanamke mzee, Kijana akadakia na
kukanusha, hapana baba hii chupi ni ya msichana. Baba akasema tena hapana hii ni ya mwanamke mzee, mabishano yakaendelea kama saa nzima.

Katika muda huo akapita Padri na akasikia makelele ya watu wanaobishana. Akaenda kuangalia kama baba na kijana wake atawasaidia.

Baba akasema: tumeona chupi hapa nikamuambia kijana wangu kwamba ni ya mwanamke,yeye anasema ni ya msichana.


Padri akasema: ilete niione, akaichukua chupi na kuingalia nakuiweka puani na kuinusa,kisha akasema Kwamba: Hii chupi ni ya mwanamke mzee au msichana lakini jambo moja ambalo nina
uhakika nalo ni kwamba huyu mwanamke sio wa parokia hii !!!!!
 
Huwa wanajua hawa jamaa pale wake au wachumba zenu wakienda kuungama, wanakisema "baba nimekuja kukuungamia nimezini.. "

huwa wanaulizwa "Umezini wapi..ebu tuone ili upate toba..."akifunuliwa na kupapasa anauliza "hiii nini??, ebu sema kwa lugha yako...ataendelea hiyo kupatasa mpaka mwisho anatoa toba...na kumweleza "Usirudie tena kutoa kwa mtu mwingine yeyote hiyo ni dhambi sipokuwa mimi tu!, na Enenda zako kwa amani, usitende dhambi tena!!
 
kwakwakwaakwaaaaaa|||||| hii kali wajameni......:A S tongue::A S tongue:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom