Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
“Jamii inakosa mwelekeo, inakosa haki, wapo wengine wanafunguliwa kesi lukuki, wakubaliane na uovu wa kimfumo” - Padre Riziki Shio wa Kanisa la Minara Miwili Zanzibar, akikemea kile alichokiita ‘uovu wa kimfumo’ wakati wa Ibada ya Ijumaa Kuu.