Padri nae.....

Padri nae.....

IrDA

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2010
Posts
745
Reaction score
360
Padri mmoja alikuwa amechoka kusalisha, sasa alichokifanya akachukua redio halaf akajirekod hvyo ukifika mda wa sala anasimama halaf anafungulia radio, cku 1 akaisahau ile kanda nyumbani akamtuma mtumish wake akaichukue kumbe akaleta kanda ya taarab mara ikaanza ++ALAMBA,+ALAMBA,TENA,.waumin wakaitikia ''Aaamm aam
 
Kumbe na padri pua, niludhani ni yule shehe tu...
 
Hahahahaa, nadhani siku hiyo hakuna aliyesinzia kwenye Ibada...!
 
Muwe munaweka topic za maana kwanini mnaleta utani na watumishi wa MUNGU?Kuweni makini..na topic zenu usicheze na MUNGU mtajiraani wenyewe.
 
Muwe munaweka topic za maana kwanini mnaleta utani na watumishi wa MUNGU?Kuweni makini..na topic zenu usicheze na MUNGU mtajiraani wenyewe.

unavyoonekana utakuwa matatzo mengi sana ya kimaisha, bt kumbuka hili ni jukwaa la jokes.
 
Ni kweli jokes,but huwezi kumjoke mtumishi wa MUNGU.Jua kwamba unamjoke MUNGU. We vp ndo maana nikasema laana zingine tunajilaani wenyewe, mheshim aliyekuumba, tania upendavyo lakini si kutania watumishi Wa MORA.
 
Nimecheka balaaa, hahahahaaaaaa FWAZAAAA! hihhiihiiii, wazinzi hao!!!!!:lol::lol::lol::lol:
 
Padri mmoja alikuwa amechoka kusalisha,sasa alichokifanya akachukua redio halaf akajirekod hvyo ukifika mda wa sala anasimama halaf anafungulia radio, cku 1 akaisahau ile kanda nyumbani akamtuma mtumish wake akaichukue kumbe akaleta kanda ya taarab mara ikaanza ++ALAMBA,+ALAMBA,TENA,.waumin wakaitikia ''Aaamm aam

Uwe unatafuta hata za zamani hiyo ilitoka c zamani. Kama huna mpya muombe excellent pole
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom