Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,898
Padre Beatus Christian Urassa wa Shirika la ALCP/OSS Ateuliwa na Baba Mtakatifu kuwa Askofu wa Jimbo Katoliki Sumbawanga, kuchukua nafasi ya Mhashamu Damian Kyaruzi ambaye Anastaafu kwa mujibu wa taratibu za Kanisa.