molely molly
JF-Expert Member
- Nov 28, 2011
- 317
- 30
Mwanakwaya anamlalamikia padre:
"Padre mke wangu hajui kufanya mapenzi
kabisaa mi namwaacha haki ya nani!"
PADRE AKIJIBU KWA CONFIDENCE: "si bora mkeo anajua kidogo mke wa mpiga kinanda ndio hajui kitu, mke wa Petro yule mzee wakanisa na tak* lake la ghorofa ndio
bure kabisaa anazidiwa hata na sister Tuli.
Yaani kwa humu kwenye PAROKIA yetu mwenye nafuu ni mkeo na Salome yule mwalimu wa Sunday School
"Padre mke wangu hajui kufanya mapenzi
kabisaa mi namwaacha haki ya nani!"
PADRE AKIJIBU KWA CONFIDENCE: "si bora mkeo anajua kidogo mke wa mpiga kinanda ndio hajui kitu, mke wa Petro yule mzee wakanisa na tak* lake la ghorofa ndio
bure kabisaa anazidiwa hata na sister Tuli.
Yaani kwa humu kwenye PAROKIA yetu mwenye nafuu ni mkeo na Salome yule mwalimu wa Sunday School