Chenge
JF-Expert Member
- Oct 5, 2011
- 1,073
- 377
Mwanakwaya anamlalamikia Padre: "Padre mke wangu hajui kufanya mapenzi kabisaa mi namwaacha haki ya nani tena .....!" Padri akajibu kwa confidence: "Si bora mkeo anajua kidogo, Mke wa mpiga kinanda ndio hajui kitu, Mke wa Petro yule mzee wa kanisa na **** lake kaa ghorofa ndio bure kabisaa anazidiwa hata na sister Tuli. Yaani kwa humu mwenye nafuu ni Mkeo na Salome yule mwalimu wa Sunday School ........" |