montana zayumba
JF-Expert Member
- Nov 9, 2014
- 225
- 31
Ha ha mmezoea kuchezea wanasiasa wajinga, Muhongo sio mwanasiasa ni Kiongozi.
nimekupata, sasa turudi nyuma kwenye swali langu la awali, je ni maswali gani bado hayajajibiwa?
Na kama PAC imetudanganya, imani yetu sisi wazalendo tutaiweka wapi?
mkuu nakubaliana na wewe, suala langu na ambalo linatia kinyaa ni kwa vipi mwenye haki ataokoka katika jambo asilotenda, sifahamu taratibu za kibunge na kwa vipi wanafanya chunguzi zao - nilitegemea PAC wengezama zaidi kutafuta ukweli wa hili suala,nimeona wao wamebase kwenye reports za vyombo vile vile (cAG na PCCB) nilidhani wangeenda zaidi ya hapo.Sasa hayo ndiyo yale ambayo mtu alivyoelewa.Mfano ningeweza kumuuliza,kama anavyodhani CAG hakutambua uhalali wa pesa za ESCROW kuwa mali ya TANESCO ndiyo sababu iliyomfanya akubali kuidhinisha malipo bila kujiridhisha?
Ni vyema ukawa unahoji Ripoti moja against nyingine then unapata uhakika wa nini unachotaka kukipata.Ukweli wenye FACTS au UWONGO wenye SIASA nyingiiiiiiiiiiiiiii.
Kumbuka viongozi wetu karibu wote ni CORRUPT,hivyo hawawezi kukwambia ndiyo hii ni mali ya umma.Na ndiyo maana Muhongo siyo mwanasiasa ameingizwa kwenye mtego na wajanja akina Chenge ambao wamekubuhu kwenye wizi.Amejikuta anaidhinisha kitu asichojua impact yake kwa taifa.
Kuna watu walikataa kuidhinisha pesa mmojawapo ni Maswi na Ndullu hawa wanajua kwanini walikataa na kwanini baadaye walikubaliana na shinikizo la AG.
Kama hawa wawili Ndullu na Maswi wangeweza kujiondoa kwenye sakata hili kwa kujiuzulu mapema zaidi,kila mtu angejiuliza maswali mengi na wote tungepata jibu moja.
Leo kila Mtanzania anajibu lake,hatuko wamoja sababu kuna wengine wamelipwa pesa ili kutetea udhalimu huu.Nimesikia Maswi ni MUHASIBu sina uhakika inawezekana ndiyo maana alikataa sababu alielewa kuna makosa na kinachofanyika ni wizi wa mali ya Umma.
Maswi na Ndullu waanajua ndani ya mioyo yao kilitokea nini,na niwao ndiyo wanamajibu mazuri zaidi kuliko hawa wanojitetea.Kumbuka moja tu WATAWALA wetu WENGI WAO NI CORRUPT
mkuu nakubaliana na wewe, suala langu na ambalo linatia kinyaa ni kwa vipi mwenye haki ataokoka katika jambo asilotenda, sifahamu taratibu za kibunge na kwa vipi wanafanya chunguzi zao - nilitegemea PAC wengezama zaidi kutafuta ukweli wa hili suala,nimeona wao wamebase kwenye reports za vyombo vile vile (cAG na PCCB) nilidhani wangeenda zaidi ya hapo.
Akina Zitto fedha za ufisadi zimewatokea puani
Huu ni ujuha wa hali ya juu sana
Vyanzo vya taarifa za Kamati ya PAC ni CAG, TRA na PCCB.
Ulisema PAC ni waongo, basi CAG, TRA na PCCB nao pia ni waongo.
Vyanzo vya taarifa za Kamati ya PAC ni CAG, TRA na PCCB.
Ulisema PAC ni waongo, basi CAG, TRA na PCCB nao pia ni waongo.
Kama hivyo ni vyanzo vya taarifa kwanini PAC waandike yao?
PAC wamedanganya tena sana tu.
CCM 19 ndo waongo basi kama hivyo wavueni nyazifa zao kwa kukubaliana na WAPINZANI 5,wasaini taarifa ya PAC ni wajumbe kwa kukubaliana nayo. Ndo mana kina FNjombe,Kigwa... Waliitea taarifa yako kila walipoomba kutoa taarifa.
Watu wengi naona wanapotosha hili au hawajui hili swala.
PAC hawakuchunguza ila walitumia report ya CAG kuandaa taarifa yao walioiwasilisha bungeni.