Tito,ungelifanyia kazi hoja za Muhongo kama ukiwa na fikra huru bila kuweka urafiki au upenzi basi ujue,hakuna cha maana zaidi ya kujitetea kwa watawala wetu.
Kuna maswali mengi ambayo kuna watanzania wengi tunayo yamekosa majibu.Ukiliangalia sakata zima halina tofauti na namna ambavyo pesa za EPA zilichotwa kwa kisingizio mwenye nazo hajulikani.Na njia ni ile ile iliyotumika kuzikwapua.
Ukiwa mjanja utaelewa vyema zaidi kwa kujiuliza maswali mengi zaidi.Imenifanya nimdharau hata rais wangu,kuwa ni rais mdhaifu sana na yupo kwa maslahi zaidi.