Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,716
- 15,279
Anapiga na kupigwa hata hao aliokua anawachukua wengi wao dabo laini piadouble laini ndo inakuaje
Anapiga na kupigwa hata hao aliokua anawachukua wengi wao dabo laini piadouble laini ndo inakuaje
kwaiyo Njemba ile ina kunjwaa??Anapiga na kupigwa hata hao aliokua anawachukua wengi wao dabo laini pia
Kwa huko kwao mbona kawaida unakuta njemba haswa ila inakazwakwaiyo Njemba ile ina kunjwaa??
mbona haijawa kama jumalokole sasa imekaza
Mmmh na naniThe Rock anatafunwa kweli si uongo
Angalia interview ya Kat williamWewe umejuaje kama anawafira?
Na akikukaribisha kwa Party zake kataaa 😂😂😂50 cent kuna mahojiano aliulizwa kuhusu diddy..akasema kuwa walihudhuria sherehe flani hivi kipindi hicho halafu diddy akamwambia 50 cents kuwa anataka ampeleke akafanye shopping!!
50cents alishtuka akamwambia unasemaje? Diddy akakausha.
Diddy akikwambia kuwa anataka akupeleke ukafanye shopping maana yale anataka ukalale nae.
Jamaa diddy ni closet gay.
😂😂😂Kuna interview moja...usher aliuliza na mtangazaji kuwa kama baba mwenye watoto ,je yupo tayari kumpeleka mwanawe alelewe nyumbani kwa diddy....alijibu "HELL NO"
Usher aliwahi kuishi mwaka mzima nyumbani kwa diddy pindi alipokuwa na miaka 14.
Lakin ile list wanatajwa wengi sana hadi bill clintonEpstein alikuwa anawarekodi hao clients wake wakati wakifanya ngono na watoto wadogo kwenye majumba yake kule New Mexico na New York na baadaye kutumia hizo videos kushinikiza analolitaka ,kama ni pesa au kitu chochote .
Hadi mtoto wa queen Elizaberth ,yule prince Andrew ana kashfa nzito ya kuhusika kwenye hizi sexual orgies na watoto wadogo kwenye mojawapo ya jumba la Epstein .
Na si huyo tu ,wapo watu wengi kibao matajiri na watu wenye influence duniani kwenye ile Epstein. Clients list .
Mi kwamba tu kuna baadhi ya watu wanafichwa maana ikitolewa yote , hapata kalika .
Ni balaa na nusu ,maana hata kifo chake kule gerezani ,huyo Jefrey Epstein kilikuwa cha utata sana , ni mambo ya ajabu na uhuni kama unaofanyika hapa Tanzania kwenye vituo vya polisi kwamba mtu ajinyonge gerezani , yawezekana waliamua kumtoa kafara ili kuficha baadhi ya mambo maana kuna watu powerful zaidi walikuwa clients wake so kuficha ukweli zaidi wakaamua kumuua gerezani
Ndio yale mambo ya Dudu baya akikosana na mtu tayari kawa shogaLakin ile list wanatajwa wengi sana hadi bill clinton
Sasa unadhan Didy anasingiziwa?police wasingemfatilia hasingiziwiNdio yale mambo ya Dudu baya akikosana na mtu tayari kawa shoga
we ulivosoma utaenda kutatuliwa??Mbona jamii forum kama mnasupport sana nyuzi za ushoga ,huzi kama huu inabidi ufutwe humu kuna vijana under 18 mtu akisoma hivi vitu tunatengeneza kizazi cha kuona kutatuliwa Melinda ni jambo la kawaida
Aisee! Basi hata bongo itakua aya mambo yapoKwa huko kwao mbona kawaida unakuta njemba haswa ila inakazwa
Wamempoteza R.Kelly,Cosb then sasa zamu ya P Diddy hata Jay Z ajiangalie sana kinachofanyika nikuwapoteza all black Americans matajiri ili watu wachukue mkwanja,kuna white people wanafanya unyama kuliko waliofanya haya lkn kwakua network hao nzuri maisha yanaenda tu busiki chochoteP Diddy namkubali sana, ndiyo mwanamuziki ninayemkubali duniani since miaka ya 90 huko alivyokuwa anapiga kazi na Mase.
Ila jamaa nyuma ya kamera ni mafia kupita kawaida. Unaambiwa ni Mafia kuliko hata unavyofikiria. Alisimamia mchongo mzima wa kumuondia Tupac, watu wakaenda mbali na kusema jamaa alishiriki kummaliza hata BIG kwa kiwa alitaka kuwa peke yake kwenye lebel ya Bad Boyz. Akajua Faith Evance kwake si tatizo lolote, atajua kuishi naye kuliko BIG.
Halafu mambo anayozungumziwa kuwaingilia kinyume na maumbile wanaume wenzake yanashamiri sana, mchungaji TD Jakes na Jamie Foxx wanaweza kutuambia zaidi kwenye hili.
Ukizunguana na P Diddy, sahau kuwa nominated na tuzo za Grammy, mwamba ana maubabe yake kishenzi.
Ila dunia ni hiihii, kuwa mafia ujuavyo, end of the day utakuja kulipa hapahapa duniani.
Karma is a B*itch.
Meek mill muhuni wa Philadelphia awe katoa tako acha dharau mzee, haya maubashiri yako yabaki kwa mkeka.Karibu wote aliowa sign kwenye label yake alikuwa anawafira kama condition ya kuwa promote. Amemla Usher Raymond, Meek Mill, TD Jakes
Meek mill muhuni wa Philadelphia awe katoa tako acha dharau mzee, haya maubashiri yako yabaki kwa mkeka.
Angalia wote ambao kahusishwa nao,, ni njemba haswa sio kama wakina anti naniu wa magomeniAisee! Basi hata bongo itakua aya mambo yapo
Kwa hiyo wewe ndiyo ulitoa tako kwa P Diddy? Na siyo Meek Mill!!Meek mill muhuni wa Philadelphia awe katoa tako acha dharau mzee, haya maubashiri yako yabaki kwa mkeka.
Mhuni wa Philadephia kaliwa na mjanja wa Miami.Meek mill muhuni wa Philadelphia awe katoa tako acha dharau mzee, haya maubashiri yako yabaki kwa mkeka.