Christa
Member
- Dec 15, 2012
- 37
- 4
Naomba tumsaidie dada angu, ana mtoto mmoja wa miaka 11 ni mwaka umepita tangu aanze kutafuta mimba, alienda hospitali akasafishwa mirija ya uzazi na kupewa dawa (clomiphene).
Baada ya kutumia dawa hizi haoni ute telezi kwenye siku za ovulation.
Je anaweza kupata mimba katika hal hiyo?
Anaomba mwenye kujua tiba mbadala ya kuondokana na hali hiyo amjuze.
Baada ya kutumia dawa hizi haoni ute telezi kwenye siku za ovulation.
Je anaweza kupata mimba katika hal hiyo?
Anaomba mwenye kujua tiba mbadala ya kuondokana na hali hiyo amjuze.