Over drive button

Hachana na "BUSH makenika" consult your real mechanic!
Hapa naona wana kupeleka chaka tu!
Tuheshimu kazi za watu! I wonder kama wataalamu wa magari wako humu JF-coz majority are introverts!

Salaaam wakuu
Mie nmekuwa nkipata shida katka kuitumia button ya OD kwenye gar yangu,maana nlikuwa nkiweka one afu kwenye dash body mwanga wa neno O/D off haukuwa unatokea na hapo ndo nliambiwa inasave mafuta na mtu mwingne kaja kanambia ukiiweka off mwanga ukatokea ndo inasave mafuta.....nahitaji msaada wenu wana jamvi nahitaj maelezo ya kutosha juu ya hiki kidude.
Nawasilisha wakuuu


Sent from my iPhone using JamiiForums.
 

What is the Overdrive Button for an Automatic Transmission? - Yahoo Voices - voices.yahoo.com
http://askville.amazon.com/overdrive-car-option-turn/AnswerViewer.do?requestId=4193256
http://news.drive.com.au/drive/motor-news/qa-automatic-overdrive-20110407-1d4r5.html

em fungua usome link tatu, kama unataka nyingine ntaongeza, Asante kwa kuniona ovyo.... kwa kua nimemwambia a-search online kugundua on/off ni ipi, mtanzania moja ushaniponda ukijifanya mjuaji huku mnatoa answers zisizo za kweli.. kama hujui unatafuta, internet ipo kwa ajili ipi? Ovyo!!
 
Hachana na "BUSH makenika" consult your real mechanic!
Hapa naona wana kupeleka chaka tu!
Tuheshimu kazi za watu! I wonder kama wataalamu wa magari wako humu JF-coz majority are introverts!

Magari kuyajua ni kama hobby na maisha watu wanayopitia,wengine ndio biashara hizo sasa kama unataka kila kitu aje "real mechanic" kutasfiri dashboard wewe uko mbali nayo machuma!!!!!

Wengine blok shusha chambua pistoni na mikono yake,ringi,vua kilakitu rudisha slivu au re-bore size mpya pima shafti reco au kwa msomali Tabata!!!!
Vikojozi,thrust washer,meni na koni ,pistoni ya alfin au kavu!!!!

Lete head vua siti weka mpya,valve guide,na valve zake grinding paste,kupiga pasi na vyooote yanajulikana kwa kuhangaikia maisha na ofisini tunatinga tai na white kola kama kawa!!!!!

Osha block kwa presha sijui suuza na diesel lete oil can na ring squeezer safisha benchi mpaka mzigo unakaa kwa chasis juu ya mounting mpya halafu unaleta dharau ya kusoma na kutafsiri signal?????!!!!

Acha kauli nyepesi wewe!!!!!
Mtoto mwenzio wa kiume humpimi kwa macho!!!
 
majibu yaliyotolewa bado hayajaeleweka. Inapokuwa imewashwa inamaanisha pale mwanga unapokuwa unatokea kwenye dash board au wakati hakuna mwanga unaonekana?

Inkoskaz kajibu. Naona wajapan walikosea haiwezekani ikiwa imewaka ndo imezimwa, na ikiwa imezimwa ndo iko off!
 
Overdrive on ni pale (kwa wale button ziko kwenye gear za chini pembeni sina uhakika kwa staff gear) button inapokuwa ndani na maana umeikandamiza ndani au umeiminyia ndani na OD off pale inapotoka nje. Kazi yake OD on huifanya engine izunguke kidogo lakini mwendo kasi uwe mkubwa na kuifanya gari isile mafuta sana. It best perform at a speed more than 70km/hr. If you are driving a car with revolution per min rpm scale on your dashbody put OD off and drive till 100km/hr while checking rpm scale then switch OD on at the same speed you will find the rpm scale is sharply dropping down and the car speed increases slightly. If two similar engines run a cars at the same velocity but one with low rpm whilst the other with high rpm, consequently the one with high rpm will consume more fuel than with low rpm at the same velocity.

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums

Yeah, there you mkuu! The truth and scientific answer! You can try and realize yourself!
 
majibu yaliyotolewa bado hayajaeleweka. Inapokuwa imewashwa inamaanisha pale mwanga unapokuwa unatokea kwenye dash board au wakati hakuna mwanga unaonekana?

Kama kuna mwanga ujue ipo off hata mwendo wa gar utaona unapungua na mwanga unapozima ujue ipo ON na mwendo wa gar huongezeka kadri unavyoongeza mwendo!
 
Kwa jinsi nilivyowaelewa wadau hapo juu ni kwamba ukiwa unaendesha ktk mazingira ya kawaida taa HAITAKIWI kuwepo (i.e hapo ndipo OD inakuwa ON - to save fuel) ila kama unataka ku-overtake au kupanda mlima taa INATAKIWA kuwepo (i.e hapo ndipo OD inakuwa OFF - fuel consumption inakuwa kubwa na unapata rpm kubwa, mwendo wa gari unaongezeka).

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

MKUU ulikuwa sahihi ila unakosea apo kuanzia ulikoweka maneno i.e hapo ndipo OD inakuwa ON - to save fuel....hapana, ukiweka ON ina maana umeruhusu over drive na hapo itakula wese na hapo gari inapata power ya ziada...ukitaka kusevu wese izime iyo taa kuonesha kuwa hauitaji power ya ziada na ivo taa itakuwa imezima....ukiiwasha unakuwa unatuma ujumbe kwenye engine kuiambia jamani eeeh saidia uko nikimbie, na hapo engine itafanya utaratibu wa kukuongezea power ya ziada na utambue huduma ya ziada lazma ulipie ziada iyo...kwa iyo ukitaka extra power. press O/D then itadrive over and above normal drive na hapo lazma wese litumike ktk kupata iyo extra power...
Pia si lazma iwe mlimani au kuovertake bali popote sana sana sehemu unayoitaji kuwa na power kubwa...ukiwasha tu,wese linaondoka...but mm nitoe ushauri wa bure, ukitaka usiibane engine ya gari yako,ukitaka performance ya ari iwe tamu, set overdrive. Mimi sijawahi kuizima iyo taa, hata waosha magari wakiizima, nagundua nkishawasha gri naiweka on. Mafuta yanayoongezeka ni kidogo munooooooooo!
 
Inkoskaz kajibu. Naona wajapan walikosea haiwezekani ikiwa imewaka ndo imezimwa, na ikiwa imezimwa ndo iko off!

mkuu ni tatzizo la maelezo ya kiswahili wala sio ivo...ikiwa imewashwa ndo inawaka taa kuashiria iko on, na hapo ndo mafuta yanatumika....ikiwa off, yani taa imezima then extra power inakuwa haipo na hapo ndo unasema mafuta...Wajapan wako sahihi kabisa...ukiweka on,yaani ikaonehsa O/D kwenye dashboard,apo unakuwa umeruhusu nguvu ya ziada na apo mafuta yanatumika. Kwa gari zingine zinaandika kabisa O/D OFF, apo usisumbuke kuwaza kuwa inakuhujumu mafuta, ikiandika O/D off, apo O/D haifanyi kazi, so angalia gari yako inabehave kwa nature ipi
 
WAkuu nadhani apa tunachanganyana kwenye jinsi hii O/D inavowaka wala sio kutumika, wengi wameelewa matumizi ila hawajajua wafanyaje au wafuate on or off, kusimply issue angaria set up ya iyo gari...FUATA IVI
1) Kwa magari madogo, kama gx100,90, collora,gari itakuandika O/D OFF...Hapo O/D haipo on, na apo unasevu mafuta.
2) Kwa gari zingine itaandika O/D baasi. Kwa iyo gari ikiandika O/D bila ya kuongeza on au off, ujue apo iko on.
Kwa gari inayoandika O/D OFF, apo ujue hauna extra power na tayari unasevu mafuta.
Wakuu angalieni kwenye gari zenu, gari ikiandika O/D OFF hapo gari haitumii mafuta ya ziada,ikisema O/D bila neno la ziada ,jua apo gari iko na power ya ziada na inatumia ziada ya mafuta/extra....APO VIPI?
 
Hii topic kila kukicha inanzishwa, halaf natoka kappa

Sasa correct me if am wrong: ILE TAA KWENYE DASHBOD HAITAKIWI IWEPO ILI U-SAVE MAFUTA, sawa au sio sawa?
Naommba jibu liwe tu SAWA aU SIO SAWA ili musiendeleee kunichanganya

SAWA, taa haitakiwi kuwaka.
 
Kama kuna mwanga ujue ipo off hata mwendo wa gar utaona unapungua na mwanga unapozima ujue ipo ON na mwendo wa gar huongezeka kadri unavyoongeza mwendo!

mkuu inafuatana na gari, inaweza kuwa taa inawaka ila imekueleza bila kificho kuwa O/D OFF apo imezima, ila kwa gari inayoandika O/D bila ya kuongeza neno iyo ndo ina nature ya ukiweka O/D mwanga ukatokea uje iko on, ikiibonyeza mwanga ukazima ujue iko off.
 
What is the Overdrive Button for an Automatic Transmission? - Yahoo Voices - voices.yahoo.com
What exactly is "overdrive" for on a car, and why is there an option to turn it on and off?
Ask the experts: Automatic overdrive

em fungua usome link tatu, kama unataka nyingine ntaongeza, Asante kwa kuniona ovyo.... kwa kua nimemwambia a-search online kugundua on/off ni ipi, mtanzania moja ushaniponda ukijifanya mjuaji huku mnatoa answers zisizo za kweli.. kama hujui unatafuta, internet ipo kwa ajili ipi? Ovyo!!

Mkuu asante kwa hii shule nzuri. Hii kitu nilikuwa sijui infanyaje kazi hasa. Leo nimejua.

Tiba
 
What is the Overdrive Button for an Automatic Transmission? - Yahoo Voices - voices.yahoo.com
What exactly is "overdrive" for on a car, and why is there an option to turn it on and off?
Ask the experts: Automatic overdrive

em fungua usome link tatu, kama unataka nyingine ntaongeza, Asante kwa kuniona ovyo.... kwa kua nimemwambia a-search online kugundua on/off ni ipi, mtanzania moja ushaniponda ukijifanya mjuaji huku mnatoa answers zisizo za kweli.. kama hujui unatafuta, internet ipo kwa ajili ipi? Ovyo!!

oh good boy
 
si sawa,inatakiwa kuwaka ila iandike O/D OFF ila ni sawa haitakiwi kuwaka kama ikiandika neno O/D bila ya kuweka neno OFF

Labda inategemea na gari, mimi gari yangu ikiwa OFF ndo taa inawaka na ikiwa ON taa haiwaki.
 
Back
Top Bottom