Kiboko.
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 2,891
- 1,211
Salaaam wakuu
Mie nmekuwa nkipata shida katka kuitumia button ya OD kwenye gar yangu,maana nlikuwa nkiweka one afu kwenye dash body mwanga wa neno O/D off haukuwa unatokea na hapo ndo nliambiwa inasave mafuta na mtu mwingne kaja kanambia ukiiweka off mwanga ukatokea ndo inasave mafuta.....nahitaji msaada wenu wana jamvi nahitaj maelezo ya kutosha juu ya hiki kidude.
Nawasilisha wakuuu
Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
Mie nmekuwa nkipata shida katka kuitumia button ya OD kwenye gar yangu,maana nlikuwa nkiweka one afu kwenye dash body mwanga wa neno O/D off haukuwa unatokea na hapo ndo nliambiwa inasave mafuta na mtu mwingne kaja kanambia ukiiweka off mwanga ukatokea ndo inasave mafuta.....nahitaji msaada wenu wana jamvi nahitaj maelezo ya kutosha juu ya hiki kidude.
Nawasilisha wakuuu
Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨