Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,939
- 61,733
Baada ya kuzunguka baadhi ya vijiji nipo hapa himo tunapiga chupa na chura matatauko wap
ha ha ha ha sawa mkuuKipofu kaona mwezi ....
hapana mkuu,labda siku nyingineUlimtembelea yule mwana jf ?
Ukiwa unaendahapana mkuu,labda siku nyingine
ha ha ha ha sawa mkuuUkiwa unaenda
naomba unipitie
Kamatia hapo hapo.....tunataka outingHivi ile nauli ulosema unanitumia mbona haikuji[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kamatia hapo hapo.....tunataka outing
Mi sipo hapo..Mnataka wewe na nani?
Nawe pia mkuu,jumamosi na jumapili ziliwekwa kwa ajili ya matumiziHongera
ha ha ha nimeshapiga vitatu mkuu....sasa hivi ni mapumziko,karibu tupate maji ya dhahabuAjabu ya JF tunaweza kuwa wote na mleta mada hadi usiku wa manane
Asa sijui mashine ataichezea huku umeshika simu
πππha ha ha nimeshapiga vitatu mkuu....sasa hivi ni mapumziko,karibu tupate maji ya dhahabu
ha ha ha ningeweka video hapa ila nawasi wasi unaweza ukalowana,pia sheria za mtandao haziruhusuπππ
Halafu unaweza kuwa zako ghetto muda huu na simu yako huna uhakika hata hivyo vitatu utavipigia kwa nani πππ
Mkuu nilivyosoma hapo kuchezea mashine tu tayari nilishaloaha ha ha ningeweka video hapa ila nawasi wasi unaweza ukalowana,pia sheria za mtandao haziruhusu