Our beloved late President Magufuli: Was he a science denier or a threat to the Empire?

Mfano mdogo ni kwenye timu ya mpira. Hapa ndo huwa nashangaa watu wanashindwa kuelewa.
Kocha anachokifanya kwa wachezaji anawapa spirit( mzuka) wa kushinda mechi. Spirit is very powerful. Ndo maana unaweza kuta timu ni nzuri lakini haina spirit inaishia kufungwa na timu ambayo sio nzuri lakini imepewa spirit.
Mimi huwa sishangai spirit mtu anapoitafuta kwenye imani yoyote. Simba anapoenda kwa mganga wake ili ashinde mechi ya yanga. Hiyo ni spirit tayari kachukua. Sio kitu kibaya kama tunavoaminishwa kwamba ni ushirikina. Hiyo ni spirit
Naunga mkono hoja. Religions divide, Spirituality unites. Kwa mfano ninapowatazama watanzania wote kwa ujumla bila lens za dini nawaona watu wenye changamoto zinazofanana na wenye talanta zinazoshabihiana. Wote tunapenda amani, furaha, watoto wetu wapate elimu na maarifa bora, na upendo baina yao. Hizo ni tunu za kiroho (spiritual elements). Dini pia zina nafasi katika kujenga na kukuza tunu za kiroho, zikijitambua nafasi zao. Ila zikianza kutumika kuhubiri chuki, na kuleta utengano katika jamii, hiyo taasisi lazima ifuatiliwe na kushughulikiwa.
 
We unafikiri ni kwa nn tanzania pamoja na wizara ya elimu wamekosa confidence ya kubadili mitaala hadi leo. Unahisi mawaziri waliopita wote na maraisi ni kwamba wanasahau au hawalifanyi kimakusudi kuwafurahisha walio uweka mfumo toka ukoloni
Maandalizi ya mitaala bora inayofaa nchi yetu ya leo ni Project kubwa sana. Inahitaji utashi wa kisiasa, watu sahihi na maamuzi magumu. Ni kama ilivyokuwa project ya kuhamishia makao ya nchi Dodoma, utashi wa kisiasa, mtu sahihi na uamuzi mgumu.

Kuanzisha mtaala mpya kuna ugumu wa ziada maana kunahitaji wadau wengi zaidi ya wale wa elimu. Kuna mahitaji ya wadau waajiri (sekta binafsi na sekta ya umma), ambayo yanabadilika badilika kila mara kulingana na upepo. Tupo kwenye digital civilization na green economy katika ngazi ya kimataifa lakini pia tuna inshu zetu local kama barabara mbovu, magonjwa ya kuambukizwa na ya lifestyle. Lazima mtaala wetu mpya uaangalie hayo yote kwa jicho la angani ( panoramic view) ili tutengeneze mitaala itakayozaa watu weledi ambao ni globaly significant but locally relevant. Mziki wa kuaandaa mitaala ya aina hiyo si wa kitoto, ndio maana nasema tunahitaji mjadala wa kitaifa.
 
Maandalizi ya mitaala bora inayofaa nchi yetu ya leo ni Project kubwa sana. Inahitaji utashi wa kisiasa, watu sahihi na maamuzi magumu. Ni kama ilivyokuwa project ya kuhamishia makao ya nchi Dodoma, utashi wa kisiasa, mtu sahihi na uamuzi mgumu.

Kuanzisha mtaala mpya kuna ugumu wa ziada maana kunahitaji wadau wengi zaidi ya wale wa elimu. Kuna mahitaji ya wadau waajiri (sekta binafsi na sekta ya umma), ambayo yanabadilika badilika kila mara kulingana na upepo. Tupo kwenye digital civilization na green economy katika ngazi ya kimataifa lakini pia tuna inshu zetu local kama barabara mbovu, magonjwa ya kuambukizwa na ya lifestyle. Lazima mtaala wetu mpya uaangalie hayo yote kwa jicho la angani ( panoramic view) ili tutengeneze mitaala itakayozaa watu weledi ambao ni globaly significant but locally relevant. Mziki wa kuaandaa mitaala ya aina hiyo si wa kitoto, ndio maana nasema tunahitaji mjadala wa kitaifa.
Upo on code mkuu. Lakini sauti hii yenye malengo mazuri kusikika ni mpaka uwe na power. Ndo kitu kinachoniuma. Kuna nawili.
Either serikali inajua kinachoendelea na imenyamaza kimakusudi au haijui kutokana na presha kali ya utawala kiasi cha kwamba wanashindwa kuyaona mambo kwa jicho la tatu. Au either kama ulivosema, tumekosa viongozi kama meko ambaye alikua na maamuzi magumu. Wote hatujui ila inauma sana hizi sauti hazisikiki. Inasikitisha
 
Maandalizi ya mitaala bora inayofaa nchi yetu ya leo ni Project kubwa sana. Inahitaji utashi wa kisiasa, watu sahihi na maamuzi magumu. Ni kama ilivyokuwa project ya kuhamishia makao ya nchi Dodoma, utashi wa kisiasa, mtu sahihi na uamuzi mgumu.

Kuanzisha mtaala mpya kuna ugumu wa ziada maana kunahitaji wadau wengi zaidi ya wale wa elimu. Kuna mahitaji ya wadau waajiri (sekta binafsi na sekta ya umma), ambayo yanabadilika badilika kila mara kulingana na upepo. Tupo kwenye digital civilization na green economy katika ngazi ya kimataifa lakini pia tuna inshu zetu local kama barabara mbovu, magonjwa ya kuambukizwa na ya lifestyle. Lazima mtaala wetu mpya uaangalie hayo yote kwa jicho la angani ( panoramic view) ili tutengeneze mitaala itakayozaa watu weledi ambao ni globaly significant but locally relevant. Mziki wa kuaandaa mitaala ya aina hiyo si wa kitoto, ndio maana nasema tunahitaji mjadala wa kitaifa.
Asante sana mkuu,Tanzania inahitaji watu wenye mawazo sahihi na panaromic kama wewe.Ni kweli mkuu kwamba kazi iliyoko mbele yetu ni kubwa,kama ulivyosema,si ya kitoto,na inahitaji wataalamu wenye uzalendo,weledi sahihi na utashi wa kisiasa.Hii ni kwa sababu tumefikishwa hapa tulipo leo si kwa bahati mbaya,ila by design.Jambo linaloniuma ni kwamba tumekuwa kama watu wanaopiga kelele jangwani,hakuna mtu anayetusikia kabisa.It seems the state has been captured.
 
Upo on code mkuu. Lakini sauti hii yenye malengo mazuri kusikika ni mpaka uwe na power. Ndo kitu kinachoniuma. Kuna nawili.
Either serikali inajua kinachoendelea na imenyamaza kimakusudi au haijui kutokana na presha kali ya utawala kiasi cha kwamba wanashindwa kuyaona mambo kwa jicho la tatu. Au either kama ulivosema, tumekosa viongozi kama meko ambaye alikua na maamuzi magumu. Wote hatujui ila inauma sana hizi sauti hazisikiki. Inasikitisha
Asante sana mkuu,Tanzania inahitaji watu wenye mawazo sahihi na panaromic kama wewe.Ni kweli mkuu kwamba kazi iliyoko mbele yetu ni kubwa,kama ulivyosema,si ya kitoto,na inahitaji wataalamu wenye uzalendo,weledi sahihi na utashi wa kisiasa.Hii ni kwa sababu tumefikishwa hapa tulipo leo si kwa bahati mbaya,ila by design.Jambo linaloniuma ni kwamba tumekuwa kama watu wanaopiga kelele jangwani,hakuna mtu anayetusikia kabisa.It seems the state has been captured.
Kinachotia moyo ni kuwa kuleta mabadiliko si lazima upate nguvu sa kisiasa au uonekane on tv. Na tusijikatie tamaa hivi tunavoelimishana mmoja baada ya mwingine ni kama matone ya maji yajazavyo dimbwi. Strength in numbers, wewe ukifanya kwa nafasi yako na mwingine kwa nafasi yake tunaleta mabadiliko kidogo kidogo lakini yenye impact. Ogopa nguvu ya inayoanzia kwenye grassroots.

Hata hivyo ni kweli kwamba sauti zetu zisiishie kwenye keyboard. Sikuwa na mzuka na mambo ya kisiasa lakini nimestuka hivi majuzi kwamba tukipuuzia mambo ya siasa tutakuja kukuta tunaongozwa na mafala. Mtu unalizidi akili, ujuzi, maarifa na uzalendo halafu kwa kupuuzia siasa za majukwaani tunakuja kuongozwa na majitu yasiyofaa. Kwa hiyo nimeazimia rasmi kuingia kwenye siasa za kuonekana. Ni lazima tuinfluence policy making kwa namna yoyote ile.
 
Mkuu umeongea kama fighter. Straight talk, critical and upo on code. Safi mkuu kwa kuwapa watz moyo
Kinachotia moyo ni kuwa kuleta mabadiliko si lazima upate nguvu sa kisiasa au uonekane on tv. Na tusijikatie tamaa hivi tunavoelimishana mmoja baada ya mwingine ni kama matone ya maji yajazavyo dimbwi. Strength in numbers, wewe ukifanya kwa nafasi yako na mwingine kwa nafasi yake tunaleta mabadiliko kidogo kidogo lakini yenye impact. Ogopa nguvu ya inayoanzia kwenye grassroots.

Hata hivyo ni kweli kwamba sauti zetu zisiishie kwenye keyboard. Sikuwa na mzuka na mambo ya kisiasa lakini nimestuka hivi majuzi kwamba tukipuuzia mambo ya siasa tutakuja kukuta tunaongozwa na mafala. Mtu unalizidi akili, ujuzi, maarifa na uzalendo halafu kwa kupuuzia siasa za majukwaani tunakuja kuongozwa na majitu yasiyofaa. Kwa hiyo nimeazimia rasmi kuingia kwenye siasa za kuonekana. Ni lazima tuinfluence policy making kwa namna yoyote ile.
 
Aisee we jamaa ni muongo sana.
Hivi unakumbuka sensa ya 2012 ilivyokua mgogoro kuhusu dini.
Idadi ya waislamu ni almost thirty percent na ya wakristo ni about sixty percent. Refer hapa. Religion in Tanzania - Wikipedia.

Si kila mkristo ni mkatoliki so naestimate kwamba labda robo tatu ya wakristo ni wakatoliki (about 45%) percent maana ndio dhehebu kubwa zaidi nchini. Ndipo nilipopata hiyo estimate ya about 80%.
 
Hivi mkuu unajua kwamba Lenin,Mao Tse Tung,Mikhail Gorbachev na Nelson Mandela vilikuwa vifaa vya mabeberu?Mkuu Mikhail Gorbachev yuko wapi leo,si yuko Marekani NWO wamempa Foundation ya kuendeleza harakati za kuleta the One World Government.Foundation hiyo inayoitwa The International Foundation for Socio-Economic and Political Studies (The Gorbachev Foundation) ilianzishwa December 1991 na ikaanza kazi January1992.

Serikali moja ya dunia inapigiwa upatu sana na the World Economic Forum Elite wakiongozwa na Klaus Schwab.

Mkuu watu ni lazima tuweze ku-connect the dots and be able to read between the lines,vinginevyo tutaingizwa mkenge sana.The New World Order Elite ni very smart,wametuletea sana Mbuzi kwenye magunia,na wanaendelea kufanya hivyo.Hivi mkuu unajua kwamba Covid-19 ni mbuzi kwenye gunia?
And I think pamoja na smartness yao yoote hii waliwaza wakiwa wamevuta 'ugoro' covid na mipango ya chanjo haimake sense hata kwa mtu wa kawaida sana
 
And I think pamoja na smartness yao yoote hii waliwaza wakiwa wamevuta 'ugoro' covid na mipango ya chanjo haimake sense hata kwa mtu wa kawaida sana
Lakini mkuu wengi wame-buy their idea.Kama ni kwa kujua au kwa kutokujua sijui.Ila nadhani wengi wanajua,pesa imetembea.

Hebu angalia hii clip👇uone what Mwalimu Nyerere is saying about such people.
 

Attachments

  • VID-20210407-WA0001.mp4
    2.5 MB
Back
Top Bottom