Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 15,843
- 20,688
- Thread starter
- #61
Uko sahihi kabisa mkuu,kila wanalotufanyia lina agenda yaMababeru wanatabu sana... hawajahi kututakia memo...
kutu-sabotage,kwa hiyo ni lazima kila juhudi ifanywe ili tuweze kujitegemea.Ni hatua,lakini ni lazima tuanze harakati hizi.Rome haikujengwa siku moja.