BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,007
najisikia furaha kujiunga pamoja na jumuiya hii kubwa,naombeni mnikaribishe!!!!
Hahahahahahahaha aisee jina lako limenikumbusha mbali sana. Yaani huyu jamaa kwenye kipindi chake tulikuwa tunacheka mpaka machozi yanabubujika LOL! Yaani we acha tu hahahahahahahahaha Othorong'ong'o na Mama Kayai LOL! Karibu sana jamvini mkuu. Yaani wale jamaa walivyokuwa wanachekesha na kipindi chao kuwa na umaarufu mkubwa wangekuwa majuu wangekuwa mamilionea wakubwa sana. Pata kinywaji ukipendacho hapo kwenye fridge pembeni. Kuna togwa pia na chang'aa.