GE2025 Othman Masoud: ACT Wazalendo kuwa project ya CCM labda ilikuwa Behind The Scene. Sikukuta hata harufu ya hilo jambo

GE2025 Othman Masoud: ACT Wazalendo kuwa project ya CCM labda ilikuwa Behind The Scene. Sikukuta hata harufu ya hilo jambo

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

McLaren

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
889
Reaction score
2,863
Wakuu,

Akiwa anazungumza leo kwenye Mkutano huu wa wahariri unaofanyika leo Agosti 23, 08, 2025, katika ukumbi wa Serena Hotel, Dar es Salaam Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Othman Masoud amesema kuwa yeye hafahamu chochote kuhusu ACT kuwa ni project ya CCM

Masoud akiwa anajibu hoja iliyoibuliwa na Polepole siku 2 nyuma amesema kwamba wakati yeye anaingia ACT mwaka 2019 hakuwahi kusikia kauli kama yao na hajui lolote kuhusu na kama lilikuwepo basi lilikuwa ni "Behind The Scenes"

 
Wakuu,

Akiwa anazungumza leo kwenye Mkutano huu wa wahariri unaofanyika leo Agosti 23, 08, 2025, katika ukumbi wa Serena Hotel, Dar es Salaam Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Othman Masoud amesema kuwa yeye hafahamu chochote kuhusu ACT kuwa ni project ya CCM

Masoud akiwa anajibu hoja iliyoibuliwa na Polepole siku 2 nyuma amesema kwamba wakati yeye anaingia ACT mwaka 2019 hakuwahi kusikia kauli kama yao na hajui lolote kuhusu na kama lilikuwepo basi lilikuwa ni "Behind The Scenes"

Polepole anasema waliratibu huo mpango akiwa Mwenezi. Sina sababu ya kutomwamini! Othman, take note
 
Polepole anasema ACT ni project ya CCM na yeye alishiriki katika hilo.

Maswali yangu ni machache tu je inakuwaje Chama chao wanakinyima wabunge wa viti maalumu na wabunge wa majimbo wakati ndio ilikuwa nafasi pekee yakukifanya kiwe Chama kikuu cha upinzani na kuiondoa Chadema ambayo wanatumia kila mbinu kiua.

Swali la pili waliruhusu vipi Chama chao kibaraka kimuunge mkono Lissu katika uchaguzi wa 2025 wakati Lissu ni adui yao mkuu.

Swali la tatu kwanini walitumia nguvu kubwa yakuiba kura katika majimbo ambayo ACT walikuwa na nguvu wakati iko ni chama kibaraka kwao.Video zipo kama ushahidi katika hilo.

Maswali yapo mengi ila nisaidieni kumfikishia Polepole hayo machache.
 
Huyu nadhani anasema ukweli japo sasa hivi huenda anajua ukweli. ACT ilianzishwa kwa msaada wa Kikwete kwa ajili ya uchaguzi wa 2015.

kwahiyo kuwa ilianzishwa kwa msaada wa Kikwete kuna ushahidi gani kuwa mpaka leo anaiendesha?
 
Polepole anasema ACT ni project ya CCM na yeye alishiriki katika hilo.

Maswali yangu ni machache tu je inakuwaje Chama chao wanakinyima wabunge wa viti maalumu na wabunge wa majimbo wakati ndio ilikuwa nafasi pekee yakukifanya kiwe Chama kikuu cha upinzani na kuiondoa Chadema ambayo wanatumia kila mbinu kiua.

Swali la pili waliruhusu vipi Chama chao kibaraka kimuunge mkono Lissu katika uchaguzi wa 2025 wakati Lissu ni adui yao mkuu.

Swali la tatu kwanini walitumia nguvu kubwa yakuiba kura katika majimbo ambayo ACT walikuwa na nguvu wakati iko ni chama kibaraka kwao.Video zipo kama ushahidi katika hilo.

Maswali yapo mengi ila nisaidieni kumfikishia Polepole hayo machache.

kabisa, kama wao ndio walikitengeneza walishndwaje hata kuwapa majimbo mawili matatu 2020?
 
Mwambieni aongee vizuri na Zitto Kabwe ndiye alipokea fungu kutoka kwa Rostam Aziz la kuanzisha hicho kijiwe.
 
kabisa, kama wao ndio walikitengeneza walishndwaje hata kuwapa majimbo mawili matatu 2020?
Nadhani anaposema ni ‘project zao’ ana maanisha kipo compromised tokea ndani yaani kimejaa mapandikizi na hakipo hapo kutimiza lengo lolote la kisiasa zaidi ya kiini macho.

Chukulia mfano wa vyama kama CUF bara, NCCR, TLP na UDP vyote vinafahamika ‘ni project’ lakini kwa muda tu huwa havipati hata kiti kimoja.

Kuwa full funded kwenye day to day operations zao kama alivyowahi kukiri ‘mzee wa ubwabwa’ ndiyo uproject wenyewe huo, watu wanasurvive five good years hawana cha ruzuku, michango ya wanachama wala miradi yoyote until next election ndiyo wanaibuka tena, how?!
 
Nadhani anaposema ni ‘project zao’ ana maanisha kipo compromised tokea ndani yaani kimejaa mapandikizi na hakipo hapo kutimiza lengo lolote la kisiasa zaidi ya kiini macho.

Chukulia mfano wa vyama kama CUF bara, NCCR, TLP na UDP vyote vinafahamika ‘ni project’ lakini kwa muda tu huwa havipati hata kiti kimoja.

Kuwa full funded kwenye day to day operations zao kama alivyowahi kukiri ‘mzee wa ubwabwa’ ndiyo uproject wenyewe huo, watu wanasurvive five good years hawana cha ruzuku, michango ya wanachama wala miradi yoyote until next election ndiyo wanaibuka tena, how?!

kama suala la kujaa mapandikizi CHadema nao tuwaweke kundi gani? kwa miaka mingi ndani ya Chadema namo tumeshuhudia mapandikizi ya ccm tofauti.
 
Polepole kaamua kupata wafuasi kwa kusema kile wanachopenda kukisikia.

Bahati mbaya tupo nchi ambayo kuhoji sio lazima ila kuwapa bendera fata upepo ni rahisi sana.

Polepole anawatumia wafuasi wa Chadema ili kutrend nchini na bahati mbaya njia anazotumia hazisaidii lolote zaidi wenyewe wanaendelea na mambo yao.

ukimuangalia polepole na kumsikiliza unagundua anaongea yote anayoongea kwasababu hayupo kwenye meza ya chakula sio kwasababu yanamkera yanayotokea.

Na kaamua kumtumia Lissu kupata wafuasi wakumuunga mkono.Kama ni mkweli awaseme waliompiga risasi Lissu naamini anawajua.
kabisa, kama wao ndio walikitengeneza walishndwaje hata kuwapa majimbo mawili matatu 2020?
 
Act wazalendo inaweza kuwa ni kwel ni project ya ccm ila iyo ni kwa upande wa tanganyika sio Zanzibar
 
Back
Top Bottom