Fundi chupi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 342
- 246
Madini ya maana sana haya
Kilichokuleta hapa ni nini kama ni pa wenye mzaha.naweza jikuta nimeketi barazani pa wenye mizaha
Kasema hapa ni baraza la wenye mzaha lakini namuona yupo tu na wenye mzaha.Ndugu kama huu ni uchawi mbona hubanduki jukwaani?%#*€
tuache sie tunaotaka kujifunza uchawi.
******Kasema hapa ni baraza la wenye mzaha lakini namuona yupo tu na wenye mzaha.
Sasa huyu tunwiteje?
Kabisa.Ngoja nitulie nijifunze Kifo vizuri, Kifo Sitaki kukiogopa! Nataka nikipende, muda wangu Ukifika nataka niondoke kwa Amani na Furaha, no matter itakua Katika Madingo gani, nakipenda Kifo
I think ukipata taarifa sahihi kuhusu Kifo, Kifo hugeuka na kuwa kitu kizuri!Kabisa.q
Inawezekana tumeshaandaliwa vya kutosha kukiogopa kifo ili tusifanye mambo fulani au tutekeleze matakwa ya watu fulani.Ngoja nitulie nijifunze Kifo vizuri, Kifo Sitaki kukiogopa! Nataka nikipende, muda wangu Ukifika nataka niondoke kwa Amani na Furaha, no matter itakua Katika Madingo gani, nakipenda Kifo
Kifo ni hatima ya kila kiumbe, na hakiepukiki.Inawezekana tumeshaandaliwa vya kutosha kukiogopa kifo ili tusifanye mambo fulani au tutekeleze matakwa ya watu fulani.
Lingekuwa tamthiria ya migegedano ungeomba hata likizo ya mwezi ili udikose hata neno mojaNdefu sana. Yahitaji muda wa kutosha kuacha jambo lingine.
Pole sana,Lingekuwa tamthiria ya migegedano ungeomba hata likizo ya mwezi ili udikose hata neno moja
ana vitabu vingi sana mkuu, unaweza kuingia kwenye website yake ya OSHO ukapakua vitabu.Mambo mazito sana haya,hivi sadhguru hana kitabu?
Natenga muda niisome yote
...ahahahaaaaKwani lazima uje humu kusema.