Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Sasa kwa mtazamo wako anayelia ni yupi hapo kati ya hao?
Wa kwanza hapo juu Bi AishaSasa kwa mtazamo wako anayelia ni yupi hapo kati ya hao?
Huyo halii..bali anamsisitiza mwanaume dowezi....."Ondoka, pitia jikoni haraka wewe...!!, Mume wangu huyo hapo anaingia, unataka niuawe mwenzio eeh?"Wa kwanza hapo juu Bi Aisha
We unavyoona analia huyo, anongea tu kwa msisitizo hakuna anayelia hapoWa kwanza hapo juu Bi Aisha
Sasa kwa mtazamo wako anayelia ni yupi hapo kati ya hao?
Used mno hizo kha!!.......:A S 13::hand:
hahaa ukichange oil seal vitu kinanda hivo mkubwa wangu.aaah mnanikumbusha kijijini kwangu vikindu mie