Sheikh23
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 1,128
- 1,842
Wakuu habari,kimsingi sielewi km ni sahihi kwa anachokifanya huyu mwandishi,kutwa kucha kuikejeli Young Africans. Kwenye utaratibu huo wa post zake za kuitweza brand kubwa ya Yanga kuna matangazo ya Dstv,M_bet na Asas.
Mbali na kutafuta umaarufu mavi,mwandishi huyu anaitumia yanga kibiashara bila yanga yenyewe kujua,kumbuka matangazo hayo hayako bure kwenye hizo 'memez' za huyu mwandishi.
Huenda akawa ana_post na memez za kuviponda vilabu vingine but ni kwa % ndogo sana ukilinganisha na post zinazoihusu Yanga.
Kama anafanya kwa kutumwa au kwa utashi wake basi ajue hili halimkuzi ki_tasnia bali linamfanya kuchukuliwa 'one of the hopeless pundit' na sisi wadau wa soka,namshauri aache kabla wananchi hawajaamka na kuanza kumshughulikia.
Mbali na kutafuta umaarufu mavi,mwandishi huyu anaitumia yanga kibiashara bila yanga yenyewe kujua,kumbuka matangazo hayo hayako bure kwenye hizo 'memez' za huyu mwandishi.
Huenda akawa ana_post na memez za kuviponda vilabu vingine but ni kwa % ndogo sana ukilinganisha na post zinazoihusu Yanga.
Kama anafanya kwa kutumwa au kwa utashi wake basi ajue hili halimkuzi ki_tasnia bali linamfanya kuchukuliwa 'one of the hopeless pundit' na sisi wadau wa soka,namshauri aache kabla wananchi hawajaamka na kuanza kumshughulikia.