We mirembe inakuitaWakinadada kama bae wako anajifanya mbahili hakupi pesa dawa ni ndogo tu. Unatengeneza uji asubuhi unaenda kuuza kazini kwake.
KisimaYule aliyeimba nzuki ni nani??? yule ndo best sasa
Hii nyimbo siyo town wala nini ni inapigwa so poa.Yule aliyeimba nzuki ni nani??? yule ndo best sasa
π€£π€£π€£π€£πHawa ni wasanii ambao wametoa ngoma kali na kuweza kuhit ukanda wa ziwa wote. Ni wasanii ambao wanajaza sana kwenye show zao.
1. Malingita
2. Bhudagala mwanamalonja
3. Bahati wa bugalama
5. Ngelela
6. Kisima
7. Juma marco
8 Gudegude
9. Inaga
10. Bushemeli
π€£π€£π€£ππWakinadada kama bae wako anajifanya mbahili hakupi pesa dawa ni ndogo tu. Unatengeneza uji asubuhi unaenda kuuza kazini kwake.
We wajuzi..Kuna Ng'wanakanundo na Idelelyashimba hao ndo walikua balaaHawa ni wasanii ambao wametoa ngoma kali na kuweza kuhit ukanda wa ziwa wote. Ni wasanii ambao wanajaza sana kwenye show zao.
1. Malingita
2. Bhudagala mwanamalonja
3. Bahati wa bugalama
5. Ngelela
6. Kisima
7. Juma marco
8 Gudegude
9. Inaga
10. Bushemeli