best naso ni mkuryaKama Best Nasso hayupo kwa list ujue ni uongo
Elizabeth maliganyaKuna kinyimbo kimoja nakisikia sana hasa kwenye harusi, wanaimba .....kubyala mayo kubyala jawiza sana.... Kaimba nani huo?
Nani aliimba wimbo flani kuna sijui ila kuna verse inasema
No nsanga grace,. Aleng'hwa juice.
No ng'wela grace oleng'wa juice, oyomba yes
Pia kuna mwingine inaombea na jamaa sijui nani
Gashinaga oh shipanda wachile
Nipeni audio
mzee wa kusakama,...hatar sanaWapi Lung'wechaa Ng'wani ituli?
Huu uzi nimecheka sana
Uwingi nimtaji hawa jamaa wako wengi zaid yamikoa minne niwenyewe tu,Sekta ya muziki wa kisukuma ni kubwa na pana kuliko watu wanavyoichukulia,kuna wasanii zaidi ya 50 wakali wote,na wanajaza shoo sana,hii secta imebeba ajira nyingi sana.Msanii mmoja anaweza akawa na crew ya watu zadi ya 25 hadi 30,kiingilio cha shoo zao ni buku tu ila wanajaza watu zaidi ya elfu3 hadi elfu 5,hapo tunaongelea milioni 3 hadi 5,bhudagala,kisima,bahati bugalama wanakusanya hadi m6,7,Na wanafanya shoo karibu kila siku,machimboni na mijini..Kwahiyo hii secta ni kubwa sana..
Bila kusahau NG'ANA KWELAHawa ni wasanii ambao wametoa ngoma kali na kuweza kuhit ukanda wa ziwa wote. Ni wasanii ambao wanajaza sana kwenye show zao.
1. Malingita
2. Bhudagala mwanamalonja
3. Bahati wa bugalama
5. Ngelela
6. Kisima
7. Juma marco
8 Gudegude
9. Inaga
10. Bushemeli
Kabisa,wingi ni mtaji,machimbo pia ni soko kubwa sana,ukizingatia wanaopenda kwenda migodini wengi ni wasukumaUwingi nimtaji hawa jamaa wako wengi zaid yamikoa minne niwenyewe tu,
Huyo sikuhizi amechuja sanaBila kusahau NG'ANA KWELA