livafan
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 2,925
- 5,528
Haya Sasa,hii ndo jf na vituko vyake...Jana tulipata Uzi wa sifa za wanaume wa kihaya...
Leo wasukuma
Tunasubiri makabila mengine....
Kesho zamu yetu Wamasai
Haya Sasa,hii ndo jf na vituko vyake...Jana tulipata Uzi wa sifa za wanaume wa kihaya...
Leo wasukuma
Tunasubiri makabila mengine....
Bila NTEMI OMABALA ( ACHA TUDANGE)Hawa ni wasanii ambao wametoa ngoma kali na kuweza kuhit ukanda wa ziwa wote. Ni wasanii ambao wanajaza sana kwenye show zao.
1. Malingita
2. Bhudagala mwanamalonja
3. Bahati wa bugalama
5. Ngelela
6. Kisima
7. Juma marco
8 Gudegude
9. Inaga
10. Bushemeli
List hii ni batili mbona simuoni Dawa dawa...Hawa ni wasanii ambao wametoa ngoma kali na kuweza kuhit ukanda wa ziwa wote. Ni wasanii ambao wanajaza sana kwenye show zao.
1. Malingita
2. Bhudagala mwanamalonja
3. Bahati wa bugalama
5. Ngelela
6. Kisima
7. Juma marco
8 Gudegude
9. Inaga
10. Bushemeli
Hahahahaaaa umeuaaa shmjUzi wa wasukuma huu unanuka mavi ya ng'ombe
Tanzania wanaume tumebaki wasukuma tu,hahahaa( usimaind) vingine vinapaka podaaa.Haya Sasa,hii ndo jf na vituko vyake...Jana tulipata Uzi wa sifa za wanaume wa kihaya...🤣🤣🤣
Leo wasukuma
Tunasubiri makabila mengine....
Lung'wechaa,Inaga,Bhudagalaa...Hatariiiiii sanaHawa ni wasanii ambao wametoa ngoma kali na kuweza kuhit ukanda wa ziwa wote. Ni wasanii ambao wanajaza sana kwenye show zao.
1. Malingita
2. Bhudagala mwanamalonja
3. Bahati wa bugalama
5. Ngelela
6. Kisima
7. Juma marco
8 Gudegude
9. Inaga
10. Bushemeli
Umemuacha wapi ntemi!¡Hawa ni wasanii ambao wametoa ngoma kali na kuweza kuhit ukanda wa ziwa wote. Ni wasanii ambao wanajaza sana kwenye show zao.
1. Malingita
2. Bhudagala mwanamalonja
3. Bahati wa bugalama
5. Ngelela
6. Kisima
7. Juma marco
8 Gudegude
9. Inaga
10. Bushemeli
Nami nashangaa hajamtaja ntemiBila NTEMI OMABALA ( ACHA TUDANGE)
Hiyo listi ni feki
Haa haa haa nawachokoza watani zangu washamba wasukuma hawaHahahahaaaa umeuaaa shmj
Kesho zamu yetu Wamasai
Hahahaa Leo nimefurahi mnoo kamandaHaa haa haa nawachokoza watani zangu washamba wasukuma hawa
Hivi INAGA ni ndege au mnyama??Hawa ni wasanii ambao wametoa ngoma kali na kuweza kuhit ukanda wa ziwa wote. Ni wasanii ambao wanajaza sana kwenye show zao.
1. Malingita
2. Bhudagala mwanamalonja
3. Bahati wa bugalama
5. Ngelela
6. Kisima
7. Juma marco
8 Gudegude
9. Inaga
10. Bushemeli