Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 19,646
- 59,675
Hii hapa views 4.8m Kisima
wasukuma wanakiwasha na wana shoot video kali sana sikuhizi..Hii hapa views 4.8m Kisima
Kuna Mbasha Studio sasa hivi kafungua studio Mbeya, Kahama na Morogoro.wasukuma wanakiwasha na wana shoot video kali sana sikuhizi..
Tisser ya Kisima. Ngoma mpya hiyowasukuma wanakiwasha na wana shoot video kali sana sikuhizi..
Tuko mikoa mitano chiefUwingi nimtaji hawa jamaa wako wengi zaid yamikoa minne niwenyewe tu,
Viunga vingine ni Katavi, MorogoroTuko mikoa mitano chief
1. Mwanza
2. Shinyanga
3.Tabora
4. Simiyu
5. Geita
Na viunga vyake kama Kagera na Mara
"Malingi matale" usukumaniHawa ni wasanii ambao wametoa ngoma kali na kuweza kuhit ukanda wa ziwa wote. Ni wasanii ambao wanajaza sana kwenye show zao.
1. Malingita
2. Bhudagala mwanamalonja
3. Bahati wa bugalama
5. Ngelela
6. Kisima
7. Juma marco
8 Gudegude
9. Inaga
10. Bushemeli
Unadahani kwa nini hawa watu ni wengi hivi halafu bado ni maskini sana? GGM iko kwao, BUZWAGI iko kwao, MWADUI iko kwao, ng'ombe ziko kwao na Tanzania ni ya pili kwa uwingi wa ng'ombe DUNIANI, ya kwanza ikiwa ni EthiopiaTuko mikoa mitano chief
1. Mwanza
2. Shinyanga
3.Tabora
4. Simiyu
5. Geita
Na viunga vyake kama Kagera na Mara
Hapa umeonyesha akili zako ni ndogo, tena sana... Masikini ni mtu gani? Maana hata wewe hapo nimeona wazi ni masikiniUnadahani kwa nini hawa watu ni wengi hivi halafu bado ni maskini sana? GGM iko kwao, BUZWAGI iko kwao, MWADUI iko kwao, ng'ombe ziko kwao na Tanzania ni ya pili kwa uwingi wa ng'ombe DUNIANI, ya kwanza ikiwa ni Ethiopia
Unadhani ni kwa nini kuna roho ya umaskini kwenye eneo lao?
Umepatia kabisa; mimi ni maskini. Natokea huko, ni nyumbani kwetuHapa umeonyesha akili zako ni ndogo, tena sana... Masikini ni mtu gani? Maana hata wewe hapo nimeona wazi ni masikini
Ficha upumbavu wako wewe!!! Mikoa maskini Tanzania ni kagera,kigoma,singida,Dodoma na tabora,haya nioneshe mkoa mmoja hapo ambao wenyeji wake ni wasukuma!!!Unadahani kwa nini hawa watu ni wengi hivi halafu bado ni maskini sana? GGM iko kwao, BUZWAGI iko kwao, MWADUI iko kwao, ng'ombe ziko kwao na Tanzania ni ya pili kwa uwingi wa ng'ombe DUNIANI, ya kwanza ikiwa ni Ethiopia
Unadhani ni kwa nini kuna roho ya umaskini kwenye eneo lao?