Ni kweli. Ndiyo maana nimeshangaa kuona Salma Kikwete kakosekana. Au atakuwa yeye anakwepa Kodi?
Maana rankings za utajiri huwa zinafanyika kwa kuangalia jumla ya Kodi na tozo zinazolipwa na mhusika..
Ndiyo maana yale ma-drug lords yanayomiliki kiasi kikubwa cha fedha kuliko hata akina Bill Gates lkn hayamo kwenye orodha.