shikulaushinye
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 828
- 456
Naazimia kuwafichua waliosomeshwa na serikali kwa pesa ya walala hoi lakini hawataki kurudisha, tunaomba tuwataje hapa na sehemu wanazo fanya kazi ili serikali ichukue hatua wakamatwe na ikiwezekana wafikishwe mahakamani.
1. Word vision wapo zaidi ya 100
2. UN wapo zaidi ya 20
3. UDSM wapo zaidi ya 2000
4. SUA wapo zaidi ya 1000
5. NACTE wapo zaidi ya 100
6. BODI YA MIKOPO wapo zaidi ya 120
7. BENKI KUU wapo zaidi ya 800
8.
9.
Majina nitawela kila baada ya muda leo naachia hapa.
Serikali itatumia data base za mifuko ya jamii kujua walipo wanaodaiwa, kwaani orodha ya wanaodaiwa ipo bodi ya mikopo, ila kujua km wameajiliwa ndiyo ilikuwa tatizo, sasa kupitia data base za NSSF, PPF, PSPF, NA NK wadaiwa wote watajulikana kama wana ajira au hapana.
1. Word vision wapo zaidi ya 100
2. UN wapo zaidi ya 20
3. UDSM wapo zaidi ya 2000
4. SUA wapo zaidi ya 1000
5. NACTE wapo zaidi ya 100
6. BODI YA MIKOPO wapo zaidi ya 120
7. BENKI KUU wapo zaidi ya 800
8.
9.
Majina nitawela kila baada ya muda leo naachia hapa.
Serikali itatumia data base za mifuko ya jamii kujua walipo wanaodaiwa, kwaani orodha ya wanaodaiwa ipo bodi ya mikopo, ila kujua km wameajiliwa ndiyo ilikuwa tatizo, sasa kupitia data base za NSSF, PPF, PSPF, NA NK wadaiwa wote watajulikana kama wana ajira au hapana.