Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Mkuu haya maneno niliyasema July 2015. Leo hii mwaka mmoja na mwezi yalishathibitika.Kazi gani wewe, acha kumpamba mtu. Kazi kumzidi nani?
Magufuli ni makali na hataki mchezo wala kucheka yeye ni kazi tu. Hana visasi wala nini ila ukikosea haoni aibu wala hana ajizi atakutosa tu hata kama ni swaiba wake. kwa kifupi hana rafiki wa kujuana ila ana marafiki wa kazi.