Makufuli hawezi kuwa raisi wa nchi hii na haita tokea.
Bado siku chache upopo wa kisiasa utabadidilika na dira thabiti ya nani anaenda kuwa raisi wa hii nchi ya Kambarage atakuwa wazi
Mark my ward
Basi Raisi ni wewe mkuu!Makufuli hawezi kuwa raisi wa nchi hii na haita tokea.
Bado siku chache upopo wa kisiasa utabadidilika na dira thabiti ya nani anaenda kuwa raisi wa hii nchi ya Kambarage atakuwa wazi
Mark my ward
Kwa hiyo kumkosoa Magufuli ni kutangaza vita!.. Duu!!!!!!! hii tena habari nyingine.
Daah,watu bado hawaamini kilichotokea Dodoma...
Tusitarajie visasi toka kwa magufuri au slaa.maadui wao ni watendaji waovu,wala rushwa,mafisadi,wabadhirivu na wezi wa mali ya umma.hivyo kazi yako ni kufanya maamuzi sahihi kwa ajili ya maendeleo ya Tanzania.
Makufuli hawezi kuwa raisi wa nchi hii na haita tokea.
Bado siku chache upopo wa kisiasa utabadidilika na dira thabiti ya nani anaenda kuwa raisi wa hii nchi ya Kambarage atakuwa wazi
Mark my ward
Lowasa anatoa yake ya moyoni leo
Membe alisema kuwa akira rais waliokuwa wanamkosoa (akina Pasco, Ulimwengu, Jf mebers, etc) itabidi wakimbie nchi (wakimbilie Kenya) kwa bahati yao hajawa rais (labda wataondoka Membe akiwa waziri mkuu)
Sasa kuna hawa waliokuwa wanamkosoa Magufuli na wengi wao wako serikalini hatma zao zikoje kwenye zama hizi ambazo tuna watawala waliojaaa siasa za visasi hata kwa wapiga domo mitaani?
Makufuli hawezi kuwa raisi wa nchi hii na haita tokea.
Bado siku chache upopo wa kisiasa utabadidilika na dira thabiti ya nani anaenda kuwa raisi wa hii nchi ya Kambarage atakuwa wazi
Mark my ward