sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 8,083
- 7,454
Halafu hawana aibu😨😨😨 na wanaona ni sawa tu.Dada anaongoza bara, kaka anaongoza visiwani na kaka mdogo mhimili wa kuwapangia kaka na dada matumizi!
Tumshukuru mweñye uzao wake kwani hakuzaa watoto wa hovyo!
Huenda mbeleni tukampata mwingine wa kuongoza ule mhimili uliobaki ili agano litimie! Nchi ya kifalme hii!