GREAT VISIONAIRE
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 365
- 453
Nimefurahi kuona zoezi la Miss JF Chitchat kumalizika na mshindi kutangazwa, hongera miss chitchat 2012/'13 madame kwa ushindi, nasi ktk jukwaa la biashara ni vema tukapata list ya wajasiriamali wenye mafanikio katika JF.
Tukianzia na Mr. Maxence Melo na mwenzake, nia si kushindanisha bali ni kujifunza namna walivyoanza na vikwazo walivyokumbana navyo na kuna vitu gani ambavyo hawatavisahau ktk maisha yao, income ktk biashara zao per year (tafadhali msiweke profit kwa kampuni ambayo si public), na je kama mtaji wake ni zaidi ya millioni mia mbili kwa nini asijiunge na Dar stock exchange ili wawekezaji tumuwezeshe na aongeze mtaji zaidi? etc,
Nakaribisha maoni kwa wana JF namna ya kuwapata hawa watu humu jamvini na tutaweza washawishi vipi waweze kutupa support?
Tukianzia na Mr. Maxence Melo na mwenzake, nia si kushindanisha bali ni kujifunza namna walivyoanza na vikwazo walivyokumbana navyo na kuna vitu gani ambavyo hawatavisahau ktk maisha yao, income ktk biashara zao per year (tafadhali msiweke profit kwa kampuni ambayo si public), na je kama mtaji wake ni zaidi ya millioni mia mbili kwa nini asijiunge na Dar stock exchange ili wawekezaji tumuwezeshe na aongeze mtaji zaidi? etc,
Nakaribisha maoni kwa wana JF namna ya kuwapata hawa watu humu jamvini na tutaweza washawishi vipi waweze kutupa support?