Majimbo karibu yote wamechukua CHADEMA! NLD, NCCR na CUF wataambulia vijimbo kiduchu tu
Funguka mkuuWametoa sababu za msingi kabisa. I support them
Wakurya waongozwe na mwanamke? Over my dead body.
Hata Haikeri...! ni Sawa tu na Kuita JK = Julius Kambarage au JK= Jakaya Mrisho...Inakera sana kuandika CDM kwanini msiandike CHADEMA...official yoyote msifupishe CC
Molemo
Chademakwanza
Tumaini Makene
Safari hii hatasinzia tena.
Wakurya waongozwe na mwanamke? Over my dead body.
Wakurya waongozwe na mwanamke? Over my dead body.
Jimbo la Chalinze tunarudia makosa kwa mara ya pili, Huyo Masai wa nini?
Sio tungu kamanda ni kahema ambae hakuteuliwa ndio wanamtaka wanakishapu kua mwelewa basi
Mambo ya ruzuku mmeishayaweka sawa? Ngoja uchaguzi uishe muone jinsi watu watakavyokuwa wanadai pesa zao!Hizi ndo siasa uchwara ambazo CCM wakizitumia kuvuruga umoja wa wapinzani, nadhana uchaguzi wa mwaka huu hilo limeshitukiwa na kuwekwa sawa, muhimu kuliko yote hayo CCM iondoke madarakani, mengine tutatambuwana mbele huko
Mi nadhani tuwe tunaongea kwa kutafakari,Majimbo karibu yote wamechukua CHADEMA! NLD, NCCR na CUF wataambulia vijimbo kiduchu tu
Mkuu naona mnachekelea baada ya kuwashika masikio! Vipi kuhusu suala la ruzuku mmeishalimaliza au ndio hivyo mmewaingiza mjini wenzenu?Shughulikia ya kwako ya ugambani ya ukawa hayakuhusu