Orodha ya magazeti na machapisho yaliyopatiwa leseni yatolewa, yote ambayo hayajakamilisha leseni marufuku kuchapishwa

Orodha ya magazeti na majarida 112 yaliyofanikisha kupata leseni imetolewa.

Kulingana na taarifa ya msemaji mkuu wa Serikali, magazeti hayo hayataruhusiwa kuchapishwa tena mpaka watapokamilisha utaratibu wa maombi ya leseni zao na amewakumbusha ni kosa la jinai kuchapisha bila ya kuwa na leseni.
Habari huwa nategemea JF. Magazeti ni kuangalia tuu kama kuna Tenda inayohusu shughuli yangu
 
Nimetoa chozi zito kwa kutoliona Mwananchi, eh Baba wa Mbinguni why!? Sitananua gazeti lolote kuanzia sasa mpaka Mwananchi itakaporuhusiwa
 
Tangu nimejiunga jf sijawahi kununua gazeti kwa ajili ya kusoma.
 
Angalia kwenye orodha namba 79 hadi 81 ni magazeti mapya ya National Media group ,nadhani wanabadili majina.kuna Taifa leo ,Sunday nation na Saturday edition

Naona magazeti yote ya National media ni ya kila wiki, kwa hio hawatakuwa na gazeti la kila siku?
 
Back
Top Bottom