mgoloko
JF-Expert Member
- Jun 25, 2016
- 4,806
- 3,996
Dah! kwa hiyo magazeti yaliyomkosoa mtukufu malaika wetu mkuu mwenye akili kuliko yeyote ndiyo kwaheriOrodha ya magazeti na majarida 112 yaliyofanikisha kupata leseni imetolewa.
Kulingana na taarifa ya msemaji mkuu wa Serikali, magazeti hayo hayataruhusiwa kuchapishwa tena mpaka watapokamilisha utaratibu wa maombi ya leseni zao na amewakumbusha ni kosa la jinai kuchapisha bila ya kuwa na leseni.