Babu Original
Member
- Jun 29, 2012
- 31
- 3
Imeishia wapi?
Hivi unataka tuwe mapunguani kama wewe na kuanza kukuandikia moja moja lililofanywa?
Mbona ni mengi sana kuliko hako ka List kako? Tuoneshe kwenye list yako vyuo vikuu.
Watu wote wanakushangaa na dread kwenye avatar yako.Hizo ajitra unazouliza kwani wewe hujaona punda wanavyokamatwa kwa wingi ktk mataifa mbalimbali wakiwa na shehena ya sembe, je hujasikia mauaji ya tembo ktk mbuga zetu au hujaona drama za kigaidi za na mauaji ya kina Miguu michemba.Ila ajira kubwa zaidi ya mzee wa gombe na seleka zake kwenye juisi za ikulu.Ajira millioni moja ziko wapi?