Original perfumes kwa bei nzuri

Original perfumes kwa bei nzuri

Gantar gal

Member
Joined
Jun 29, 2014
Posts
78
Reaction score
6
Nna perfumes za kike na kiume nzuri kwa bei rahisi anaehitaji atume namba nimcheck asante
 
Nna perfumes za kike na kiume nzuri kwa bei rahisi anaehitaji atume namba nimcheck asante

Gantar gal,
Nakushauri weka at least brand 10 kwa gents na 10 kwa ladies ili sisi tusiojua walau hata tuvutiwe na majina tu, tupo wengine tunataka kuhama kwenye Yolanda na Ayu tuje kwenye Ma Ferrari and the like, plz do a favour!

Weka mawasiliano yako,
Unakopatikana (bidhaa zilipo),
Bei pia kwa kila moja kama utaorodhesha,
picha wengine ni #teamwekapicha tukiona picha tunavutiwa hata bila kusikia harufu.

asante Gantar gal
 
Last edited by a moderator:
weka ulipo ndugu ili tujue, isije kuwa upo kyela. na mawasiliano yako maana wewe ni mfanyabiashara.
 
Perfumes
 

Attachments

  • 1406155070524.jpg
    1406155070524.jpg
    55 KB · Views: 273
  • 1406155107468.jpg
    1406155107468.jpg
    37.4 KB · Views: 253
  • 1406155140740.jpg
    1406155140740.jpg
    47.3 KB · Views: 235
  • 1406155166852.jpg
    1406155166852.jpg
    42.6 KB · Views: 236
  • 1406155192256.jpg
    1406155192256.jpg
    46.2 KB · Views: 228
Jaribu kuwa mstaarabu kama ww umeona za hvy ulazimishwi sawa sio kuja kucomment ujinga kwny business za watu

Wala usikerekwe kwa maneno ya wachache,umeweka biashara walioridhishwa watakutafuta tu mdada..sio wote humu wanao-go for expensive things. Waaache na mawazo yao..wewe stick na business yako.
 
Wala usikerekwe kwa maneno ya wachache,umeweka biashara walioridhishwa watakutafuta tu mdada..sio wote humu wanao-go for expensive things. Waaache na mawazo yao..wewe stick na business yako.

Tankyuuu aloads 4 ur advice...
 
Back
Top Bottom