msani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 1,801
- 1,191
Hawa jamaaa ni pesa ndo maana wakati wakiwa eatv walikuwa wanawaiponda serikali sana ila sasa wanaisifia hata kwa baya,kama una mkwanja wa kutosha unaweza kuwahamisha na wakafanya kazi utakayotaka wewe....isipokuwa ile kazi nyingine ile ndo hamna........