Original Comedy TBC1 Mkajipange

Original Comedy TBC1 Mkajipange

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
16,738
Reaction score
16,522
Aisee hivi kile ni nini au ni macho yangu ki ukweli li kipindi halivutii hata kidogo haichekeshi hata kidogo nimeshangaa sana ina maana nyinyi ndo mlikaaa miez kadhaa mkajipanga ndo kmmerudi kwa staili hii.

Asiee chukueni hii kama changamoto.

Mkajipange.
 
nimeangalia kidogo kwa wakuvanga na wimbo waliopiga 'elimu ya mjinga' , nothing new
 
nimeiangalia ni yakiduanzi afadhal ile ya zaman

et yule wakuvanga anaongea bila tafsida mara ukitembea kishoga una megwa mara bangi..na yule makregan ndio sijamuelewa kabisa sasa ndio nini vile

hawana jipya
 
wanalipwa vizuri huenda, c unajua tena wako kituo bora? hivo waneridhika, lakini hakuna wanachofanya kwakweli.
 
nrdhan niko peke yangu, nimeacha kitambo sana kuwafatilia hawa jamaa, ckuhz najchekia wale kina "mzee wa magumash" eatv
 
nimeangalia kidogo kwa wakuvanga na wimbo waliopiga 'elimu ya mjinga' , nothing new

hakuna kitu yaani wameigiza watu wa3 tu
eti kipindi kikaisha yaani mauza uza tu
 
wanalipwa vizuri huenda, c unajua tena wako kituo bora? hivo waneridhika, lakini hakuna wanachofanya kwakweli.

hakuna ki ukweli wanachofanya milijua wakirudi itakua bam bam
 
nimeiangalia ni yakiduanzi afadhal ile ya zaman

et yule wakuvanga anaongea bila tafsida mara ukitembea kishoga una megwa mara bangi..na yule makregan ndio sijamuelewa kabisa sasa ndio nini vile

hawana jipya
yaani magren kate,bea tu eti mdudud anamfata alafu ndo basi

ki ukweli hata ukitekenywa wakati unatizama unaeza usicheke
 
Hivi hawa jamaa bado wapo? Kitambo sana sijawasikia hata kuwatazama manake tangu niidelete ile TBC kwangu, kushney!!!!
 
Ki ukweli hawa jamaa niliwadelete toka walivyohamia TBC huko wamenyamazishwa na akili yao sasa imedumaa, naburudika na komediani wa TvStar kila alhamisi usiku saa 4.
 
Hovyo sana. Niliangalia mpaka nikajutia. Dakika 15 zinapotea eti mtu anafuatwa na mdudu.

Mie nimebaki na KANJANJA TIME tu Chanel 10. Maana hawa matukio yao ni ya ukweli wanayoyaonyesha.
 
ukikubali kutumika ccm kinachofuata ni kuporomoka umaarufu .kama huamini fuatilia wote waliotumika hivi sasa wapo kama kondomu
 
"game" yao ishapita na sasa washazeka.wajikite tu kwenye ujasiriamali.masanja akazie hapo hapo kwenye uhubiri mana nao siku hizi unalipa vizuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom