Order ya kuprint t-shirts!

Weakman

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2021
Posts
1,092
Reaction score
1,696
Ndugu!

Shule mpya imeanza na Kuna Nia ya mchakato wa kuagiza t-shirts za shule

Shule ipo wilayani Nanyumbu Mtwara

Naomba kupewa a, b, c za namna njema ya kupata mtu anayeweza kubeba order ya kusupply tshirts printed, kwa Bei nafuu

Karibuni kunipa elimu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nicheki PM Mkuu
 

Kama unaweza, fanya namna uzame K/koo, chagua material kulingana na mahitaji ya shule. Utauziwa T-shirts kwa bei nzuri sana (Jumla). Halafu check mtu anayeprint mnapatana anapiga mzigo wote.
 
habari naprint tshirt kwa bei nafuu sana karibu nikuhudumie
 
Kwa anaehitaji huduma ya designing na printing kuanzia t-shirts, vikombe, vitabu, mabango ya matangazo pamoja na stickers bila kusahau business cards na vitambulisho nicheckin coz niko na ofa nzuri kwaajiri yenu.... T-shirts tunaprint kuanzia elfu tano ya kitanzania hapo ni kama uko na logo yako pamoja n t-shirts zako na hiyo bei inazungumzika kama utakua na order nyingi. Karibuni sana.
 
6,000(primary school)/10,000(secondary school)printed njoo inbox.
 
ni check pm boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…