Oral Interview Uhamiaji

Oral Interview Uhamiaji

Maswali yako strictly to Immigration au na ya profession ya candidate wanauliza??
 
Mwaga sasa hivi utusaidie wa kesho


So, tell me a little about yourself.
I’d be very surprised if you haven’t been asked this oneat every interview. It’s probably the most asked question because it sets thestage for the interview and it gets you talking. Be careful not to give theinterviewer your life story here. You don’t need to explain everything frombirth to present day. Relevant facts about education, your career and yourcurrent life situation are fine.
 
Mzee ES,
sasa umeona ukweli unavyozidi kujitokeza hapa?...
Kuna huyu anayejiita Mzee mwanakijiji ambaye anakuja na mapenzi yake bila hata kufikiri, jitu zima linasema ovyo! Yaani sikuelewa kama huyu jamaa mwenyewe ndio kundi la hao ambao kwamba!
Ebu nambieni jamani Mtume aliandika barua mwaka 628BK hiyo BK imesimama kama kifupi cha nini? Before Christ!.. hii mpya, na hata kama ikiwa baada ya Christ.
Je anafahamu kwamba Mtume hakujua kusoma wala kuandika zaidi ya hapo nchi gani za magaharibi ambazo anazungumzia zilikuwepo kiutalawa wakati ya mtume na waliweza kusoma Kiarabu. Huko Saudia kwenyewe wasomi walihesabika tena wanaojua kusoma na kuandika ndio elimu kubwa wakati huo nani aliweza kuandika lugha nyingine tofauti na kuzituma ktk mataifa.. pia hizo barua zilikwenda kwa njia gani.. DHL?... nani alimtambua Mtume kama kiongozi hali - waarabu wajulikanao kama Wasabi (Kureish) ndio walikuwa watawala. Yeye kama nani aandike barua hali maisha yake yote mwenyewe alikuwa akijificha kati ya Mecca na Madina.
Jamani acheni upuuzi wenu tunazungumzia mtu mmoja ambaye kaja na agenda yake. Siwezi kuutukana Ukristu kwa sababu ya agenda za Bush na kusema anafuata mafundisho yaa. Tuwe watu wazima, na ndio maana sikutaka kabisa kujiunga na hiyo site yake maana anaongea kama MLOKOLE!... Siasa na Dini vitu tofauti ndugu yangu unaonekana Mchawi tu. Mawazo yako yanaweza kuwa mazuri sana lakini kwa siasa za Bongo unaonekana sawa na huyo mwendawazimu Ahmadinejad.

Napita tu
 
Vp mlofanya oral interview jana wameshaita waliofaulu ili niangalie majina yale 58 yaliyoongezewa kabla ya written interview
 
habari wadau nilikua nauliza interview za uhamiaji maswali yapoje kwa waliofanya mwaka jana 2022
 
Habarini wadau,Mimi ni mmoja kati ya watu waliofanya interview leo pale ukonga moja kati ya vitu walivosema twende navyo ni picha 2 lakini cha kushangaza hawakuzihitaji hebu nisaidieni wale waliofanya leo je kuna ambao waliuliziwa picha?
ivi waloomba mkoa wa pwani nao washaitwa kwenye interview
 
Hii ndio ile interview tulifanyiaga uwanja wa taifa ikazua gumzo nchi nzima.
 
Back
Top Bottom