kante mp2025
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 630
- 1,193
Habarini wakuu wa kazi naombeni kujuzwa utumishi (sekretarieti ya ajira wanatumia utaratibu gani kumpata mshindi wa baada ya oral interview?
Kuna post moja ya kazi ilitangazwa waombaji waliofanya kwa usahili wa kuandika walikuwa kama 128 hivi baada ya mchujo wa kuandika wakabaki wasahili wa kwenda oral kama 12 hivi kumbuka hiyo nafasi ya kazi ilikuwa ni post ya mtu mmoja.
Swali langu ni je nafasi hiyo moja inagombewa na watu 12 wote au? na kama jibu ni ndio kulikuwa na haja gani ya kuwaita watu wote hao 12 kwa hiyo nafasi moja kwanini wasingewachukua walau hata watu wanne tu wenye top marks ili kurahisisha mchakato
Au huwa wanakuwa na nafasi zingine za siri nje na tangazo lao la nafasi hiyo moja.
Nauliza hivo nikiwa kama mmoja wa watu hao 12 tulioingia hiyo oral nikiwa na marks za mwisho kabisa yaani nikiwa mtu wa 12 katika hao 12 hapa naiwaza nauli niliyokopa kutoka mkoani kagera kwa nafasi moja watu 12
Mwenye uelewa zaidi anifafanunulie kwanini ile nafasi moja isingegombaniwa na walau hao vipanga at least wangewachukua wale top five ili sisi wagonga ulimbo tusiwe tumechezea nauli
Asanteni.
Kuna post moja ya kazi ilitangazwa waombaji waliofanya kwa usahili wa kuandika walikuwa kama 128 hivi baada ya mchujo wa kuandika wakabaki wasahili wa kwenda oral kama 12 hivi kumbuka hiyo nafasi ya kazi ilikuwa ni post ya mtu mmoja.
Swali langu ni je nafasi hiyo moja inagombewa na watu 12 wote au? na kama jibu ni ndio kulikuwa na haja gani ya kuwaita watu wote hao 12 kwa hiyo nafasi moja kwanini wasingewachukua walau hata watu wanne tu wenye top marks ili kurahisisha mchakato
Au huwa wanakuwa na nafasi zingine za siri nje na tangazo lao la nafasi hiyo moja.
Nauliza hivo nikiwa kama mmoja wa watu hao 12 tulioingia hiyo oral nikiwa na marks za mwisho kabisa yaani nikiwa mtu wa 12 katika hao 12 hapa naiwaza nauli niliyokopa kutoka mkoani kagera kwa nafasi moja watu 12
Mwenye uelewa zaidi anifafanunulie kwanini ile nafasi moja isingegombaniwa na walau hao vipanga at least wangewachukua wale top five ili sisi wagonga ulimbo tusiwe tumechezea nauli
Asanteni.