Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,229
- 44,260
1. jaribu kudownload hivyo vitu vya online kisha viangalie kwenye pc baadae, maana kuangalia online kunahitaji nguvu kubwa kushinda kuangalia offline.thanx chief ishaintall.nasaidie kitu kimoja,huwa kuna vitu najifunza youtube online.sasa kila nikifungua scraching kibao hadi kunifanya nisielewe kile mnacho jifunza.msaada km kuna apps yoyote itayonisaidia kuingia youtube nikaangalia bila scraching yoyote nisaidie mkuu.
2. pengine huna drivers za graphics, ukizieka speed inaweza ikaongezeka. hapa naweza kukuangalizia drivers zake kama utanitajia full name ya hio computer yako.