Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,953
Watumishi wa umma wenzangu hii kitu sijui nimeiandika kwa usahihi, Mimi inanikera sana, nina miaka karibu 3 sijaijaza.
OPRAS ifutwe bongo na badala yake waweke kitu kingine chenye kueleweka kitakachompima Mtumishi
Kinachofanyika kwasasa ni kukopi nakala za nyuma tu. Misingi na kanuni zake hazifuatwi.
Walioileta kutoka ng'ambo walikuwa na nia njema lakini hapa Tanzania mambo ni tofauti.
Utawakuta watumishi wanaelekezana namna ya kujaza, hii ni sawa na kusema mipango kazi hawapewi watumishi badala yake wapowapo tu.
OPRAS ifutwe bongo na badala yake waweke kitu kingine chenye kueleweka kitakachompima Mtumishi
Kinachofanyika kwasasa ni kukopi nakala za nyuma tu. Misingi na kanuni zake hazifuatwi.
Walioileta kutoka ng'ambo walikuwa na nia njema lakini hapa Tanzania mambo ni tofauti.
Utawakuta watumishi wanaelekezana namna ya kujaza, hii ni sawa na kusema mipango kazi hawapewi watumishi badala yake wapowapo tu.