Opposition Power Woes Now Linked to MP Lissu’s Assassination Plot

Msikilize hapo 2:15 alafu urudie kuandika ulichoandika

Haya alizungumuza Wakati wa utawala wa Kikwete. Serikali ya Kikwete ilikuwa ikiwauzi wengi ikiwa pamoja na Rais Magufuli. Watanzania tuna tabia ya kutowapinga wakubwa zetu wenye madaraka ndiyo maana Rais Magufuli hakusema kitu. Sasa Rais Magufuli hazungumuzi tu kama huyo jamaa yenu, bali anatenda. Wakati Rais Magufuli anapigania makinikia HUYU anayebwaka hapa alikuwa upande wa Acacia, alikuwa tayari kuwatetea. Upinzani usiwe uadui, lazima tuwe pamoja kupigania mali asili zetu, kwa kwa kumuunga mkono Rais kama anapigania mali asili zetu.
 
Hustahili kumuita mwanao Obama!! Hyo video ni ya mwaka jana wakati mko busy kusoma ripoti ya makinikia ambayo mpaka leo hakuna aliyekamatwa wala pesa iliyolipwa..... Awamu ijayo mtamkumbuka lisu maana naona sahivi ni kama mmeziba maskio kama mlivyoziba kipindi anapinga miswada mibovu na mikataba ya kifisadi.
 
tatizo shetani liliowekwa pale magogoni kuongoza na liuwaji halijui propaganda haijawahi shinda ukweli lissu katwambia magufuli ndio alipanga mauaji so hakuna propaganda itashinda
 
Don't waste my time too with ur useless assumptions that only paperwork matters while all views agitated by lissu the CCM government always term it inciting and waste their time to reply with lengthy press conferences but one irrelevant guy hiding behind a fake ID dares to say only paperwork matters.

Utter nonsense
 
Me I do not want anybody to tell me anything about who tried to kill Lissu; be it Lissu himself or his tormentors. Reason is that the actions of all those responsible in one way or another in managing things after the shooting speak volumes of the whole episode.
 
A piece of shit, a government should investigate or otherwise its a prime suspecsuspect
 
Wapelelez wa kimataifa ndo wapi hao? Wana sifa gan? Wanapatikana wapi?
 
Fake news
 
Utamwamini mla matapishi km huyu
 
Cha msingi wangeruhusu uchunguzi Uhuru kuupata ukweli wote
 
CC BAK, Mwanahabari Huru Salary Slip na wengine wote, tulishawaambia mnajipiga risasi wenyewe then mnasingizia, sasa mbivu na mbichi hizo hapo
Na wewe kumbe siyo great thinker kama nilivyokuwa nakuchukulia? Yanawezekanaje haya ya kupita geti lenye zaidi ya askari wanne wenye smg zenye risasi 30 each na pia walinzi wengine wenye magobore yao ushambulie kwa silaha yenye kutoa kelele za kusikika umbali wa km 10 kisha kamera za usalama halafu utoke salama bila walinzi wale kukukamata!
Au kurudi kwake kunaashiria kujulikana kwenu kwa matendo mliyoyafanya? Anakuja kuwavua nguo na kuwaacha uchi! Ccm buana!
 
CCM bwana...Lissu kasema Muuaji ni Jiwe..na kila mtu anajua muuaji ni Jiwe.
Ndiyo maana Mungu alimlinda,ili ayaumbuwe haya mashetani.Lissu anawaambia wazi wazi aliyetaka kumuua ni nani,lakini bado wanalazimisha uwongo uwe ukweli.Ujinga ukipilitiza ni shida.
 
Wapelelez wa kimataifa ndo wapi hao? Wana sifa gan? Wanapatikana wapi?
Tumewahi kuwaita SCOTLAND YARD, Wapelelezi wa Uingereza, kuja kutusaidia, nadhani ilikuwa pale Benki Kuu ilipoungua. FBI walikuja Tanzania kupeleleza kuhusu mlipuko ule wa Osama Bin Laden. katika yote mawili, serikali iliwakaribisha na kuwaruhusu wapelelezi hao kuja nchini. sharti wapate kibali cha serikali husika. kwa suala hili na mengineyo kuna wengi wameomba wapelelezi wa kutoka nchi zilizoendelea zaidi kitekinolojia na kiuchunguzi, waje kutusaidia. Na FBI walithibitisha kwamba kama watakaribishwa watafurahi kuja kutoa msaada. lakini Serikali yetu haitaki jambo hilo. sasa kama mnawalaumu CHADEMA wameuana wao kwa wao, na kuna uwezekano wa kupata ushahidi ili muwabane vizuri, inakuwaje mnakataa ofa kama hizi
 
Aaaah! Kumbe hata hawa wapelelz wa Tz wakienda nchi nyngne tofaut na Tz, hawa nao watakuwa n wapelelz wa kimataifa...
 
Aaaah! Kumbe hata hawa wapelelz wa Tz wakienda nchi nyngne tofaut na Tz, hawa nao watakuwa n wapelelz wa kimataifa...

Inawezekana !! -- Its all about issue of ''neutrality'' man! japo ujuzi, vifaa na uzoefu pia.
 
Nimesoma uzi huu hadi hapa sijaona source ya habari hii ni ipi! Au wenzangu nyie mmenong'onezana?! Hii habari imeandikwa kwenye chombo gani cha habari?
Na hicho kimalkia kilichotumika hapo.....huyo mwandishi atakuwa tuition anachukulia hapo kando ya soko la samaki pamoja na yuleee jamaa yule!
 
ushuzi grade 1. Ingekuwa ni CDM au Mbowe amefanya hivyo nina uhakika sasa hivi Dola ingeshawapata wahusika na kuwafikisha Mahakamani maana ingekuwa fursa ya kuimaliza CDM hususan Mbowe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…