Mama Obama
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 1,621
- 1,087
Msikilize hapo 2:15 alafu urudie kuandika ulichoandika
Haya alizungumuza Wakati wa utawala wa Kikwete. Serikali ya Kikwete ilikuwa ikiwauzi wengi ikiwa pamoja na Rais Magufuli. Watanzania tuna tabia ya kutowapinga wakubwa zetu wenye madaraka ndiyo maana Rais Magufuli hakusema kitu. Sasa Rais Magufuli hazungumuzi tu kama huyo jamaa yenu, bali anatenda. Wakati Rais Magufuli anapigania makinikia HUYU anayebwaka hapa alikuwa upande wa Acacia, alikuwa tayari kuwatetea. Upinzani usiwe uadui, lazima tuwe pamoja kupigania mali asili zetu, kwa kwa kumuunga mkono Rais kama anapigania mali asili zetu.