Opposition Power Woes Now Linked to MP Lissu’s Assassination Plot

Hapo kwenye nyekundu kunaifanya hii habari iwe na utata. Hivi ni days au months tokea hili tukio litokee?
Hebu kwanza tujiulize, hivi ni gazeti gani hilo lililoandika huo upuuzi??

Utagundua kuwa ni miongoni ya hivyo vijarida, ambavyo haviishi kuiandikia propaganda CCM
 
Kwa hiyo hadi wachunguzi huru mliwaandaa!
Unafikiri Scotland yard ni sawa sawa na polisi CCM au TISS? Hawahongeki wala hawapangiki maana hata mama yao Queen na familia ya kifalme inayowapa mshahara haiwaogopi itakuwa Mbowe?
 
Shetani lililopanga huu unyama ndio liakuwa linahonga wahariri kuandika hizi habari za kipropaganda na uzushi.

Tuna genge la majitu ya hovyo sana!!
EU inafahamu kila kitu kuhusu shambulizi la Lissu , unaambiwa imerekodiwa kuanzia waliopanga mpaka waliohusika , mnyororo wote umeanikwa , hawa wamekwishajua kimesanuka ndio maana wameamua kutumia makapi kuleta uzushi
 
Subirini dawa iwaingie. Mlidhani hayatajulikana. Yako wazi kweupeeee kila mtu atayashangaaa. Hata kwa Wangwe mlinifanya ni selikari kumbe ni nyie wenyewe. Sisi wajanja tulishawashtukia miaka sasa. Wauwaji wakubwa.
Kwahiyo na wewe ni mjanja kati ya wajanja?
Au ni kati ya wale vilaza ambao ni mtaji wa chama chetu cha kijani?
 
Time will tell, kwenye hulka hii ya Lissu, watuhumiwa ni wawili tuu, nao ni kati ya Viongozi wasio wana Chadema ambao walikuwa wakisakamwa NA Lissu, ama viongozi wa Chadema waliokuwa hawafurahishwi NA namna anavyozidi kuvuma chamani. Tupende tusipende time will tell.
 

1. Why the government resists to allow independent investigations from such organs like FBI? We all know CHADEMA and Lissu called for that to be carried out.

Whoever attempted to take Lissu's life away is now facing SLEEPLESS nights! He is confused and gets mad as days move on.. He is using all the possible resources to cover his stupid attempt.
 
For propaganda purposes. Crap at its best! It makes whoever saying this shit look stupid as fuckf!
 
Shetani lililopanga huu unyama ndio liakuwa linahonga wahariri kuandika hizi habari za kipropaganda na uzushi.

Tuna genge la majitu ya hovyo sana!!

Siwezi kuishutumu Chadema kwa maoni yako ya kizembe.

Huyu mwandishi amemnukuu Waitara alipo fanya press conference yake, ni kawaida ya waandishi wa habari kuunukuu habari. Sasa leo umekuja NA usemi eti wahusika NA hii mikakati wanawahonga wanadishi wa njee.

Naona hautaishia hapo, mpaka Chadema wakutambue NA kukupa wadhifa ama upewe offer NA CCM, bahati mbaya YOU ARE NOT A PREFERRED ENTITY IN OPPOSITION, THUS YOUR VALUE IS JUST TOO LOW AND IN APPLICABLE.
 
..hivi ubishi wote huu wa nini wakati rekodi ziko kwenye CCTV camera?
 
utakumbuka alivyochambua muswada wa gesi,
Pole kwa kusosa kumbukumbu. Wakati wa kujadili muswada wa Sheria ya Petroli Julai 2015 (hakuna kitu kinachoitwa muswada wa gesi) Lissu aliogopa kujadili akijenga hoja kuwa uahirishwe hadi Bunge la 11 kwa kuwa ulikuwa mkubwa sana, zaidi ya kurasa mia mbili, kwamba Bunge lisingepata muda wa kutosha kujadili muswada huo kwa ukamilifu na ufanisi, hivyo aliishia kupendekeza serikali kuondoa muswada huo hadi bunge la 11. Bunge la 10 lilijadili muswada husika na kuupitisha kuwa sharia Namba 21/2015 bila kuchangiwa na Lissu. Mapenzi yako kwa Lissu yasikukoseshe kumbukumbu
 
Viongozi wa CHADEMA ndio wanaozui uchunguzi huru?

Viongozi wa Chadema ni wamoja wapo wanaozuia uchunguzi usifanyike, Dereva wa Lissu ni mtu muhimu sana kwa uchunguzi huu kufanyika, lakini wao hawako tayari kwa hilo, NA wanaweka kila aina ya pingamizi asiulizwe maswali.

Kufuatilia michango yako humu JF, wewe ni mmojawapo hata wangeletwa Scotland Yard ama FBI , NA wangesema wahusika sio serekali, basi ungesema wamehongwa ama riporti yao imebadilishwa.

Leo hii mwandishi wa njee aliyemnuukuu Waitara, umesema amehongwa.

Issue ya Lissu ni mtego wa Panya
 
Kwa hiyo hadi wachunguzi huru mliwaandaa!
Wachunguzi hawajandaliwa, ila maagizo ya mazishi ya Lisu yalishatolewa na mhusika. Jichunguze humo ulimo siyo train inayobeba CCM
 
Subirini dawa iwaingie. Mlidhani hayatajulikana. Yako wazi kweupeeee kila mtu atayashangaaa. Hata kwa Wangwe mlinifanya ni selikari kumbe ni nyie wenyewe. Sisi wajanja tulishawashtukia miaka sasa. Wauwaji wakubwa.
Sasa kwanini mpaka leo polisi hawamkamati mbowe..... Mkamateni na ushahidi sasa lisu alishatoa namba ya gari na simu mlichoshindwa ni kipi
Mkuu usijitoe ufaham kuchambua sio mpaka uwe kwenye kikao baada ya kutoka nje aliainisha makosa ya ule muswada A mpaka Z ila wwe hapo na CCM wenzako mlimpuuza na hoja zake alizotoa ndio leo mlitumia kuukosoa muswada ule

Tujikumbushe kidogo
 

Whe a crime is commited the first thing is to find a motive. The government has nothing to benefit on shooting Lissu, I suspected all along, Lissu must be attacked by someone within Chadema. He was becoming very popular within their political party. Chadema leader cannot be trusted, he lacks integrity.
 

He preaches water and drink wine. The same man was on the side of acacia against Tanzania.
 
Wachunguzi hawajandaliwa, ila maagizo ya mazishi ya Lisu yalishatolewa na mhusika. Jichunguze humo ulimo siyo train inayobeba CCM
muhusika aliyeandaa uchunguzi huru?
 
ufaham kuchambua sio mpaka uwe kwenye kikao baada ya kutoka nje aliainisha makosa ya ule muswada A mpaka Z ila wwe hapo na CCM wenzako mlimpuuza na hoja zake alizotoa ndio leo mlitumia kuukosoa muswada ule
Don't waste our glorious time. Anybody can say anything anywhere. What matter in the policy making process is the official documentation formally presented in, compiled and endorsed by Parliament. The rest, outside the legislative making process, is bullshit.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…